Leo ni siku ya kuvumiliana duniani. Ni member gani humu umemvumilia vya kutosha sasa basi?

Leo ni siku ya kuvumiliana duniani. Ni member gani humu umemvumilia vya kutosha sasa basi?

Nikifunua kinywa changu mtalia bure.
Sipendi kulazimishwa mimi najitambua huwa sili mataputapu..ishia hapa

Kaka una mikwara!! Hebu sema bhana
Hapo unamchanganya mkeo ujue!!
Nani atalia sasa?? Mana unanifokea had mimi??
Ko na mimi umenikataa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hebu funguka, tema nyongo hata km unanisema mimi wewe sema usipindishe
 
Kaka una mikwara!! Hebu sema bhana
Hapo unamchanganya mkeo ujue!!
Nani atalia sasa?? Mana unanifokea had mimi??
Ko na mimi umenikataa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hebu funguka, tema nyongo hata km unanisema mimi wewe sema usipindishe
Ameacha ambiguous statement [emoji23]
 
Mna siri gani? Maana pia kasema hapo huwa hali mataputapu, mtalia sana ishia hapo.

Umemfanya nn tena?

Me nina siri? Piem yangu unaingia na kutoka km ubungo to kimara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Si unasomaga chat zote wewe au unajishaua hapa?? Na nyingine unafoka kwann watu wanatuma namba na picha zao!!
 
Back
Top Bottom