Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Yes mstaarabu hana maneno mengiBora kama unamjua vyema.
Mm mwenyewe kila siku najitahidi kupunguza maneno, sema wachache ndio wananirudisha nyuma but nitapunguza zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes mstaarabu hana maneno mengiBora kama unamjua vyema.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] Hapana sina na hata ningekuwa nazo siwezi kukupa. Ugomvi sio mzuri!!
Tuishi kwa kuvumiliana Mtakatifu Anne
JF uzushi mwingi! Sio kila kitu cha kukiamini ndugu yangu. Utajipa presha na kuchukia watu bure ambao huwajui wana fake id
Chata zetu za mwanakondooBarikiwa sana mtumishi.Ntajitahidi nimchukulie vyote viwili ili wazee wenzake wakija kumtembelea wanavikuta.
Funguka basi na wewe watu unaowavumiliaAiseeeeee !!!
Heaven Sent [emoji23]
Zile tuhuma mwamba alikana .
Kuanzia za Coca,alisema hajawahi wasiliana naye.
Kuja zile zetu zote alikana..
Sasa tungepata ushahidi akiwa anawaambia watu ingekuwa vizuri zaidi.
Bavicha huku mnatafuta nn?Aiseeeeee !!!
siwavumilii kabisa yaaniFunguka basi na wewe watu unaowavumilia
Hata machawa wa CCM [emoji1787]
Afadhali,maana mdogo wangu Lamomy ilikuwa nusu alambe michanga Kwa viapo[emoji16][emoji16]
Hili lenu mm naomba nijitoe, maana nitachukiwa na watu wengi huku[emoji23][emoji23]Heaven Sent [emoji23]
Zile tuhuma mwamba alikana .
Kuanzia za Coca,alisema hajawahi wasiliana naye.
Kuja zile zetu zote alikana..
Sasa tungepata ushahidi akiwa anawaambia watu ingekuwa vizuri zaidi.
Usimwage sana mchele kwenye kuku mwengi babamtu😅😅😅Haya yote umeyataka wewe kivuruge! LamomyNilimkuwa namueleza dada kuwa huyo mwingine analazimisha nisivyofanyaga.
Nimewahi kumuonya kqenye majukwa hapa jf na nje but sio mwelewa.
Wanaume hatufanani, sifunuagi kila sketi.
Joannah anajua fika na convo nzima ameiona hapa anamchora tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siwavumilii kabisa yaani
tumepotea njia ! ila Namvumilia tu SamiaBavicha huku mnatafuta nn?
Bavicha huku mnatafuta nn?
Basi kaka Yako keshaweka sawa kumbukumbu...Nataka mi kuvunjwa miguu na kutenguliwa kiuno kwa mitama?? Mtu mwenyewe kashatumia sana mjani wa Bob huko chugga hana hata anachoogopa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] komaeni na huyohuyo lamomy, asiwatanie kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah
Sisi tulitaka tu kuweka mambo sawa
Ila shida ushahidi hatuna.
Alikataa katakata.
Sisi tulishasamehe[emoji23][emoji23][emoji23] Achilieni mioyo kwanza
Jisameheni kisha samehe na wale wote waliokukwaza.
Ukishapata amani ya moyo, utaona vile Mungu anaenda kumuumbua adui yako.
Kuna nguvu kubwa ndani ya MSAMAHA
tumepotea njia ! ila Namvumilia tu Samia
Ni mwanamama tutamchukulia na kitenge.Asante sana kwa ushauri .Akipiga zake 'Uhuru wa Yesu?' huku katinga mwanakondoo itakuwa unyama sana.Na mimi ntaonekana mtu wa maana.Chata zetu za mwanakondoo
Mshoneshee na shati la kitenge[emoji23]
Kuna vitenge na khanga za mwanakondoo.