Leo ni siku ya kuvumiliana duniani. Ni member gani humu umemvumilia vya kutosha sasa basi?

🀣🀣🀣🀣Bwana wee Nazi iliyokomaa ndiyo inaunga mboga
 
Umeanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkono mrefu wa kutalii kila pembe ya mwili wako!! Sio kwenye pesa!! Mkinga sihongi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Pesa inaniuma balaa
Shemeji kaanza taratibu!yupo Ciroc ya ngapi🀣🀣🀣🀣
 
Umeanza [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkono mrefu wa kutalii kila pembe ya mwili wako!! Sio kwenye pesa!! Mkinga sihongi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pesa inaniuma balaa
Sijasema unahonga, Ila nimesema hunaga mkono mfupi[emoji23][emoji23]

Nakukubali sana

Chukua maua yako[emoji120]
 
Ana ile nyingine ....watanzania wabubujikwa na machozi.
ila huyu faza ameamua kuzima Data mazima.πŸ˜‚
Sijui kwanini huwa namvutia picha kama mtu mwenye pigo za kidalali au teacher wa math.
Yani ile design ya kuchomekea shati ambalo lina mabaka ya jasho kwapani, moka imelika soli upande mmoja, ki bahasha cha A4 kwapani halafu saa zote yupo resi kama vile anafuatilia issue ya maana.
 
Kesho nayo siku.
Ibadani..Mungu akipendaπŸ™

Usiku mwemeni wazee wa kuvumilianaπŸ˜‚.

Narudi zangu kijiweni selfika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…