Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Ndio mdogo wangu
Yani wewe popote pale naenda.Dodoma sehemu gani Bibie tuwe tunakutana tunapata hata Juice ya Miwa, Huku tukijadili Nyuzi mbili tatu za JF
Basi sawa.Siku ya uvumilivu ikiisha ndio nitajuaπ€£
Nah, unajua tena ilikuwa iseme yeye, ila jina lako likawa lina rhyme.π€ tivimiliane tu kwa leo. Kula tano.Jamani! Are you seriously? Au umetaka kunionea tuπ
πππukorofi huo bhanaNah, unajua tena ilikuwa iseme yeye, ila jina lako likawa lina rhyme.π€ tivimiliane tu kwa leo. Kula tano.
Wewe tena!
Kwa dislike unazonipa,nani akusubiri Pm.Nasikia una matako makubwa we mmama naomba nije pm unipokee ππ€π€
Superman kutoka Mvuti Chanika huko anaomba nafasi ....Mskilize Braza angu dronedrake japo kidogo.Nimechoka tu na majanga ya dunia
Nimemwambia aje PmSuperman kutoka Mvuti Chanika huko anaomba nafasi ....Mskilize Braza angu dronedrake japo kidogo.
Safi Sana.Nimemwambia aje Pm
Yani wewe popote pale naenda.
Au Jumamosi hii twende the Bistro Nkuhungu?
Na mimi najiungamanisha na penzi lako. Tafadhali niteue kuwa spika wa bunge la moyo wako. Nitakupenda kuliko Mdude anavyopenda maandamano.Nimemwambia aje Pm
Ahsante Kwa taarifa...Wacha tu.
Kuna lidau limoja humu kwenye jukwaa moja humunJF anadhani anajua yote. Know it all!
Huwa akiposti maoni yake kana kwamba ni sheria, humwambii kitu ni lazima abishane. Anajiona yuko sahihi,anajiona Smart911 ana akili kuliko wengine, mdau huyu bana.π π
To yeye ni Kwini wa Kutovumilia, ni kwini wa mijadala, yeye ni kwini wa majivuno.
Naeza Proved ni troll wa jukwaa, GENTAMYCIME he's the pest of the site na Lucas mwashambwa ni mwiba kwa wengi
π
We acha tu
Halafu kuna mwingine huyu, brazaj pinga pinga kila mara Erythrocyte na mapicha yake ya ngozi zilizojaa mavumbi π π³na Tindo π‘ yeye huwa ananitukana mara kwa mara, anaudhi sana na zitto junior he always bothers me. Akiwemo jukwaani. Hata hivyo, he is the master of debates
We acha tu
I declare, Mimi SYLLOGIST! I making peace with myself and others, kukuza mazingira ya uvumilivu.
Amani iwafikie nyote niliowakwaza na wale nitakaoenda kuwakwaza mbeleni.
ππππππππππ