[emoji23][emoji23][emoji23] vita ni vita tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] napigwa vita vya chini chini
Hakuna unayemvumilia?[emoji3][emoji3]huu Uzi unachekesha sana
Mimi nasahau balaa anaweza kunikwaza asubuhi had jioni nimemsahau πππHakuna unayemvumilia?
Aisee[emoji23]Yes dada yangu
Unajua kutumia ujinga kuuondoa ujinga ni akili hiyo.
Hawa kina hannah ili kwenda nao sawa ni lazima iwe hivyo, I'm sorry napo ku-disappoint
[emoji23][emoji23] kuna vinega, hata hiyo jioni anakukwaza tena utamkumbuka tuMimi nasahau balaa anaweza kunikwaza asubuhi had jioni nimemsahau [emoji3][emoji3][emoji3]
Hakuna mtu nnae mvumilia Kama Luka Mwashambwa huyu Anko ananikwaza Sana.
Hannah
Ana fake maisha na kujifanya yupo vizuri kumbe kapuku muuza visheti kwa wanafunzi
Aisee mimi ni mwalimu nimemvumilia sana kichwa majiMpwayungu Village lakini sasa uvumilivu umetamatika nitamkata panga
πππKama Hao hakuna namna ni kwenda nao sawa tu[emoji23][emoji23] kuna vinega, hata hiyo jioni anakukwaza tena utamkumbuka tu
akili yangu naijua mwenyewe ,πππWizo unajivumilia mwenyewe? πππ
Hatari mwanawaneNoumaah
Haswaa.Hatari mwanawane
Khaaa!!!Nimeshaanza kuuzia bei za Diapers za watoto.
Mrembo kile kikombe cha mwanakondoo ameshinda ulinunua wapi?Hee[emoji15]
Huyu naye ni muongo?