Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
thnks mkuuHbd Mane.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
thnks mkuuHbd Mane.
Happy birthday Manengelo, Allah akuzidishie baraka tele, akuepushe na mabaya ya kila aina.
Hahhahahaha nikumbuke tu birthday gelo hiko ndio kinywaji changu pendwa vile unajua [emoji847][emoji847][emoji28][emoji28]Haleluja mama mchungaji wa mwendokasi..nikipita sehem nikaona heinke huwa nakukumbuka ww sijui why mama mchungaji[emoji30][emoji30]
Mbrazil si unajua kila kitu kutuhusu.
HBD Mbrazil.
Hahaha asante mama gwajima😅😅..siku ukinywa nistue mapeemaHahhahahaha nikumbuke tu birthday gelo hiko ndio kinywaji changu pendwa vile unajua [emoji847][emoji847]
[emoji3][emoji3]hahaha haukua uzi wa ajabu...kuna kipindi nadhan ulikia uzi wa miss natafta..tukaanza kuongelea habari za vyombo...nikasema nape da vyombo unique na ww ukasema unapenda kula kwenye vyombo vzr...nikatuma kijiko fulan hv ukakipenda...nahis na maua ulisema unapenda...bas since then nikawa najua ni mwanaume wa 1 kujua ishu za vyombo vzr..sio mrad vyombo tu[emoji30][emoji30][emoji30]!
Muda si mrefu nazianza nitoe machungu yangu ya jana ya simbaHahaha asante mama gwajima[emoji28][emoji28]..siku ukinywa nistue mapeema
[emoji23][emoji23][emoji23]Asante chaufupi mwenzangu[emoji28]..lov u
[emoji3][emoji3]
Thanks for reminding me
Basi umenipa clue ya zawadi yako
Sijui niupate wapi
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Muda si mrefu nazianza nitoe machungu yangu ya jana ya simba
ShukraniAmin mamy...barikiwa dogo kwa kila ugusalo
Thanksmhhh wa muda..cheki nyuz za miss natafta alioka kuku km sikosei...kitu km hicho au la kuna kitu alipika nikamsifia sufuria nadhan
Fanya kunitafutia na mimi twin humu basi, maana wengi hawataki hata urafiki tu na mimi kisa single mom sijui wanaogopa ntawabebesha majukumu lolhhahahaa mm huyu ni zaidi ya kaka..nikiwa na kiu na njaa nausingiz vyote namshitakiaga yy..as u knw matwins huwa tunapendana kiasili....[emoji445][emoji445]tetema...asnte mamy...penda ww
vile kuna ka mvua... nikuimbie [emoji445] [emoji443] [emoji442][emoji445]
Fanya kunitafutia na mimi twin humu basi, maana wengi hawataki hata urafiki tu na mimi kisa single mom sijui wanaogopa ntawabebesha majukumu lol
😍😍😍huwa nakupenda bila sababu !Amen mama mlipa kodi mwenzangu...naijia na sprite hyo nile kwanza sato hapa nishibe ndo nianze IFUNDA taratiibu😅Heri ya kuzaliwa manengelo mlipa kodi mwenzangu nakuaandalia Kvant kubwa usisahau kupitia leo furahi dai.
BTW Uwe na miaka 120 yenye afya na nguvu