Leo ni siku ya kuzaliwa Manengelo; tumtakie heri

Leo ni siku ya kuzaliwa Manengelo; tumtakie heri

Yangu hujaitikia mpenzi naifuta comment ๐Ÿค—ulivyo mchoyo hata keki.


Hqwachi...jana nilisema pg no 5 kuwa sipo eneo lenye net..hv nw nimekuja mjini walau nipate net na kurwfresh mind..hv nw nimerud 1st page...jana ilikua inatumia 10min kijibu..inasumbua balaa...nakujibi usifute sina roho hyo kbs hahaha...huon@hazard ndo namjibu nw na yule James comey...nisamehe mdg wangu..keki umri umekimbia..nawaachia vijana๐Ÿ˜‰๐Ÿ˜‰
 
Happy birthday mane Mungu wetu azidi kukubariki tu ww na kizazi chako


๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…Haleluja mama mchungaji wa mwendokasi..nikipita sehem nikaona heinke huwa nakukumbuka ww sijui why mama mchungaji๐Ÿ˜ฉ๐Ÿ˜ฉ
 
Happy bday manengelo maisha mema na yenye furaha ikawe sehemu yako...

Tusio maarufu na tusiokuwa na wakutukumbuka humu tupite kimya kimya [emoji26]


hhahahaa mm huyu ni zaidi ya kaka..nikiwa na kiu na njaa nausingiz vyote namshitakiaga yy..as u knw matwins huwa tunapendana kiasili....๐ŸŽถ๐ŸŽถtetema...asnte mamy...penda ww
 
Hqwachi...jana nilisema pg no 5 kuwa sipo eneo lenye net..hv nw nimekuja mjini walau nipate net na kurwfresh mind..hv nw nimerud 1st page...jana ilikua inatumia 10min kijibu..inasumbua balaa...nakujibi usifute sina roho hyo kbs hahaha...huon@hazard ndo namjibu nw na yule James comey...nisamehe mdg wangu..keki umri umekimbia..nawaachia vijana๐Ÿ˜‰๐Ÿ˜‰
Usijali mpendwa happy birthday kwa mara nyingine.
 
Back
Top Bottom