Leo ni siku ya kuzaliwa Manengelo; tumtakie heri

Leo ni siku ya kuzaliwa Manengelo; tumtakie heri

Happy birthday manengelo ....

Nimejisikia furaha kujua umezaliwa tarehe moja na binti yangu, first born...

Naamini nawe utakuwa kazuri kama yeye...

Kwa mantiki hii, kuanzia leo sitakutongoza tena....


hahahaba...bas nie ni baba yangu wa kufikia..lol..tena mwambie bintiyo tumezaliw week1 na JULIUS NYERERE..yy alizaliwa 11.04..kwahyo tuheshimiane tu baba wa kambo...salimia ur daughter
 
[emoji3][emoji3]msalimie binti yetu

Happy birthday dada manengelo

Ila uwe unajiita majina mazuri


Hahaaba...asante sana mamy...jaman napenda sana majina machachu...ya kilugha...unakuwa una idendity yako..mie kujiita curvy girl au curvemom,au cute au beautiful hapana siwez na sibarikiwi...hizi mambo huja auto...familia yang hawajanipaga jina la kilugha bas mie hom najiitaga ya kubumba km hv...i like it..!wenye majina mazuri endeleen nyie ni maua😍
 
Sio huo...ni wa muda ht huwez kumbuka..nahakika 100%..ndo mara yangi ya 1kukufollow..huez kbs kumbuka
Jamani puliiiiiz
Basi hata kwa code za warumi [emoji23][emoji23][emoji23]
Ujue hapa nasubiri
Au mpaka nije na gift niliyoahidi?


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Jamani puliiiiiz
Basi hata kwa code za warumi [emoji23][emoji23][emoji23]
Ujue hapa nasubiri
Au mpaka nije na gift niliyoahidi?


Sent from my SM-G570F using Tapatalk


hahaha haukua uzi wa ajabu...kuna kipindi nadhan ulikia uzi wa miss natafta..tukaanza kuongelea habari za vyombo...nikasema nape da vyombo unique na ww ukasema unapenda kula kwenye vyombo vzr...nikatuma kijiko fulan hv ukakipenda...nahis na maua ulisema unapenda...bas since then nikawa najua ni mwanaume wa 1 kujua ishu za vyombo vzr..sio mrad vyombo tu😩😩😩!
 
Back
Top Bottom