Kwani hawakuzaliwa? Hata sisi tulikua hatufanyi hayo mambo lakini siku hizi tunajaribu kuandika chooni ili tusisahau BD za watoto na wenzetu maana ni vigeni. Pilau la Muislam likoje?Hahaa hakuna wa kunipikia..labda nijisogeze kwa mtoa mada..nipo ugenini huku hawaelewi ht maana ya besdei😅...wine huki hakuna kuna ngumu tu...msos napendelea pilau..tena anipikie muislam😊
Same to me... Sijawahi celebrate siku hii. Na huwa naikumbuka ikishapita...Kwani hawakuzaliwa? Hata sisi tulikua hatufanyi hayo mambo lakini siku hizi tunajaribu kuandika chooni ili tusisahau BD za watoto na wenzetu maana ni vigeni. Pilau la Muislam likoje?
Same to me... Sijawahi celebrate siku hii. Na huwa naikumbuka ikishapita...
Tena huku mikoani vijijini watu hizi issue hawana kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hawakuzaliwa? Hata sisi tulikua hatufanyi hayo mambo lakini siku hizi tunajaribu kuandika chooni ili tusisahau BD za watoto na wenzetu maana ni vigeni. Pilau la Muislam likoje?
Yah, background ina influence, nakumbuka doto alimnunulia mshua zawadi ya saa kwenye bday yake.. Muhusika mwenyewe akashangaa kuwa alizaliwa siku hiyo. Ikabidi tuzimwage crate za kutosha kucelebrate..duh..bas malezi tunayopewa..mimi ikifikaga 1st April baba na mama wanaanza niambia...yaan sisi had baba bdy yake tunacelebrate balaa ...mimi bora nisile xmas ila bdy muhim sana..sie had wabibi tunazijua hahaha...kwa hilo nawarithisha na wanangu aisee
Happy bilated birthday manengelo, uishi umri mrefu mamy, mpk uone vitukuu vya watoto wako[emoji3] [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah, background ina influence, nakumbuka doto alimnunulia mshua zawadi ya saa kwenye bday yake.. Muhusika mwenyewe akashangaa kuwa alizaliwa siku hiyo. Ikabidi tuzimwage crate za kutosha kucelebrate..
Sasa imagine at age ya 50+ mtu hajawahi hata celebrate bday yake[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa mamaa ya fulusa..haaha thankyou love...be blessed..ww ni noumer[emoji3]
Yah siku hizi kidogo nimeanza ujenga huo utaratibu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wasukuma bwana hahhaa sie had bdy za wajomba zipp hapa kicjwan..yaan wazoeze wanaonbwana we
[emoji28] hata sijafichwa.. Hukutoa majibu yangu.@theAugust mwenyewe kafika
Sijui alifichwa wapi!!
Aje basi tumalizs kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Cc: HornetSorry! Ugeni wa maneno, sisi wengine wanakijiji. Utaniambia bei na njia ya kuzilipia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Happy birthday to you dear,
Kama ni zawadi pokea tu hata perfume moja
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Sintakuambia kwa sasa maana niko mbali ila nakuja soon hukoAsante mzee baba..kuna common interest moe na ww hiwa tunashea...ila kwq suala.la perfume wala sivungi niambie naipataje tu[emoji28]
hDah..hepi bethdei manengelo ...unazidi kukua na kupendeza ...shikilia hapo hapo...una Pepsi zangu mbili..baridiii[emoji56]
Sent using Beretta ARX 160
hDah..hepi bethdei manengelo ...unazidi kukua na kupendeza ...shikilia hapo hapo...una Pepsi zangu mbili..baridiii[emoji56]
Sent using Beretta ARX 160