Leo ni Siku ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W.)

aisha aliolewa.
Kama una ushahidi alibakwa ulete
 
Hakujua kusoma wala kuandika. Pia kapitwa na wakati kaja mtume mwingine wa hamadiya
 
Hiyo si shida sheikh na nina imani hutotaka kunikomoa. Nipatie mahari. Hatuwezi shindwana. Na hapo nitarudi kwenye Uislamu maana kwa kweli utakuwa umekonga sana moyo wangu. Kwa sasa Mimi ni KAFIR sina Dini.
Mimi mpemba sheikh maharishi za watoto wetu hatuhitaji hela.ndo maana nimekuuliza utaiweza?
 
Sawa kuna kula ndio.na Mungu yesu si anaendelea kupikiwa misosi🤣🤣🤣.yaani mpaka Mbinguni jamaa ni bachelor.na usisahau kila anayekula UWA ANAENDA CHOONI KUKATA GOGO. Mungu huyo.haya niambie choo cha Mbinguni ni cha shimbo au sink?
Nami nikuulize,

Majini Huwa mnayachomea ubani kama chakula Chao kwenye Ibada zenu, huo ubani ukiingia tumboni, hutolewa kupitia choo Cha shimo au sinki?

Sijui nimekujibu?
 
Nami nikuulize,

Majini Huwa mnayachomea ubani kama chakula Chao kwenye Ibada zenu, huo ubani ukiingia tumboni, hutolewa kupitia choo Cha shimo au sinki?

Sijui nimekujibu?
We tangu lini umeona jini anakula moshi?
 
We tangu lini umeona jini anakula moshi?
Nami nikuulize, majini ya chooni hula nini?

Na majini yanayokunywa Damu ya binadamu yakiisha kuinywa, hujisaidia kwenye vyoo vya shimo au sink?

Mbona unaelewa kirahisi kuhusu mambo ya Dunia, na tukikwambia mambo ya Mbinguni unahamaki?
 
Amin
 
Nami nikuulize, majini ya chooni hula nini?

Na majini yanayokunywa Damu ya binadamu yakiisha kuinywa, hujisaidia kwenye vyoo vya shimo au sink?

Mbona unaelewa kirahisi kuhusu mambo ya Dunia, na tukikwambia mambo ya Mbinguni unahamaki?
mimi sijawahi kuwaona majini.wewe uliwaona wapi wakila na kwenda kujisaidiq?
 
kwa kipindi hicho ilikuwa sawa.
Na hata sasa ni sawa.sema siku hizi kuna serikali.
Mkuu vipi kama uba binti wa miaka 12, nomba tupatane nimuoe au kama una ndugu bas upande wowote🙏🙏, naomba sana sana natafuta bikra mimi.
 
Wewe unajitapa na mila, desturi na tamaduni za watu. Kwa taarifa yako waarabu wanaeneza desturi zao kupitia kivuli cha dini kwa watu weusi na wajinga kama wewe ili wawatawale.

Uislam siyo dini (yenu) ni tamaduni za waarabu. Jua hilo kuanzia sasa.
UKafiri sio dini yenu ewe ngedere! Ni dini ya wazungu ambao hufanani nao hata chembe Naendelea kusisitiza USHOGA KWA TANZANIA HAUKUBALIKI
 
Nini kirefu cha S.A.W
Na maana yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…