eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Majini ya nabii solomon yalikuwa mabaya?
Hata sijui kama alikuwa mfuga majini naye?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majini ya nabii solomon yalikuwa mabaya?
Mbinguni Kuna kula matunda pia, mtu wa Uzima na matunda yake upo Mbinguni,Hayo ni mawazo yako? ya mwamposi? au ya bibulia
Hiyo si shida sheikh na nina imani hutotaka kunikomoa. Nipatie mahari. Hatuwezi shindwana. Na hapo nitarudi kwenye Uislamu maana kwa kweli utakuwa umekonga sana moyo wangu. Kwa sasa Mimi ni KAFIR sina Dini.
Kwahiyo huko utasifu hadi utakoma ya ni 24/7 huo ukatili haukubalikiWabishi na viburi hawaingii Mbinguni, Kwa wabishi ni kuzimu, na shetani pia hapendi kubishiwa, utatinduliwa ipasavyo.
Njoo Kwa Yesu Kuna Uzima.
Mbinguni Kuna kula matunda pia, mtu wa Uzima na matunda yake upo Mbinguni,
Bustani ya edeni IPO Mbinguni pia. Sasa wewe mbona ngumu kuelewa?
Kujua na kutokujua siku aliyozaliwa Nabii Isa عليه السلام hakupunguzi heshima na na cheo Cha utume aliopewa na Allaah عز وجل. Ndani ya Quran wametajwa mitume n manabii wa Allaah wasiopungua 25 na ikiwa pamoja na Nabii Nuhu , Ibrahim, Dawuid, Sulayman, Muda, Harun na wengineo عليهم السلام ambao hatujui tarehe miezi Wala miaka ya kuzaliwa kwao lakini tunaamini kuwa ni mitume wa Allaah na walifikisha ujumbe wa mola wao kwa watu wao kama walivyoamrishwa. Ama kutojulikana siku , tarehe au miaka ya kuzaliwa kwao hakupunguzi chochote katika utume wao.
Hawa akina Al maktoum wakitupia na kiarabu, basi wanajiona watakatiifu, kumbe kiarabu ni lugha tu kama lugha zingine. Hakuna watu ambao wamefanikiwa kuwa hadaa watu kama waarabu, eti wenyewe wanadanganya watu, ili swala yako ikubalike na Allah basi lazima uongee kiarabu. Ebo, mpaka kiarabu, ina maana yeye hakubali watu wa lugha, rangi, taifa na kabila tofautii? Ina maana usipojua kiarabu basi wewe ni huna chako? Wewe kafiri mkubwa simply because you don't know Arabic?Umepanic mkuu. Mipasho miingi kisa swali dogo tu. Ungesema haijulikani ingeeleweka kuliko kudandia na lugha ya waarabu
Mimi ni mpemba! Wewe choka mbaya unachembechembe hata ya mabwana zako wazungu waliokufundisha ushoga?Tuendelee kupinga ushoga, pia kuendeleza utumwa wa kiarabu ambao umewafumba macho yenu na kuanza kuabudu kueneza na kuenzi desturi zao.
Surah Al-Baqarah - 190-192 - Quran.comHiyo aya imekalimika hapo hapo? Kuwa Surat Bakhala 112:2 ole wao wenye kuswali.
Ikaishia hapo hapo?
Swali langu hizo aya hapo juu ni kweli au si kweli?
Hizi habari za kubaka ni za siku hizi tu na makelele yenu,juzi tu hapa usukumani palikua na chagulaga,yaani ngomani huko unachagua mwanamke unamvuta vichakani unagonga mambo, kuhusu watu kuolewa wadogi zamani siyo issue, ilikua hivyo,japo si kweli kuwa mtume alioa binti wa miaka 6,9,12,si kweli,na ndiyo maana kila mtu ana umri wake wa huyo binti, lakini pia Quran imeagiza kuoa wanawake,kwa maana ya waliopevuka,hilo la kuoa binti mdogo ndiyo limeshupaliwa kweli na makafiriNa kwa akili za kawaida unaona sawa kukibaka kitoto cha under 12?
Sawa tufanye kwa kipindi hicho, Je katika hali ya kawaida unaweza kufanya kitendo kama hicho kama ungekuwa wewe? Na je kama ni mwanao ndio anafanyiwa kitendo kama hicho, ungechukua hatua gani kwa mtendaji?
NYINYI KILA kukicha mnaamrishana ushogerNa kwa akili za kawaida unaona sawa kukibaka kitoto cha under 12?
Sawa tufanye kwa kipindi hicho, Je katika hali ya kawaida unaweza kufanya kitendo kama hicho kama ungekuwa wewe? Na je kama ni mwanao ndio anafanyiwa kitendo kama hicho, ungechukua hatua gani kwa mtendaji?
Akiwemo maria?Mabikra 72
Kipilipili mkubwa wewe! Narudia ushoger haukubaliki!😛
Ukiwa mpemba, so what is very special with you? Ndiyo mnavyowatisha wafuasi wenzenu wabantu wa desturi za kiarabu mkiwa msikitini?
Vipi na yule mfu?Hivi Mudi kwa mwaka anazaliwa mara mbili?
Upeo mdogo wa kufikiria👎Kuthibitisha hiyo sherehe
Tulia wewe! Kitabu chenu kimeisha ongeza Aya ya ushoger! Muabudu MFU mkubwa weweEwe mfuasi wa desturi za waarabu, mbona unaongea bila kushirikisha ubongo wako?
Ndivyo mud anavyowafundish mkiwa masjid