Leo ni Siku ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W.)

Leo ni Siku ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W.)

Ndiyo maana sijali na sibebeshwi mzigo wa kufuata desturi zao. Natumia vizuri akili zangu. Niko tofauti na wale wanao iga lugha, majina, mavazi, chukula nk. Siyo mtumwa kama wewe.
Mzungu weusi wewe! Mtumwa mkubwa wewe ushoga HAUKUBALIKI Tanzania
 

Utake usitake, kamuulize MUNGU.😅
 
Mimi ni muislam wa kuzaliwa na kufa.sijawahi kuona majini yakila na kwenda chooni ndo maana nashangaa.wakati majini hayaonekani
Sasa majini hayaonekani, na Mungu pia haionekani.

Pia huamini juu ya uwepo wa Mungu sababu haonekani?

Pia wewe ni muislam usiyejua kuwa msikitini Huwa mnajumuika na majini mnayoyaita masafi, mastaarabu katika Ibada?
 
Swali kwa nini hakuna mtume mwafrika???swali mnasema Kuna pepo mbona watu wanaogopa kufa??Nilitegemea watu wafurahie kufa ili kuwahi peponi asanteni
 
Hakika, hatukubali ushoga na yote yanayoletwa ili kuua desturi zetu. Hatutaki kuwalazimisha watu waongee malugha ambayo hayaeleweki huku wamevaa magauni/makanzu.
Hutaki ushoga wakati mnaamrishana kila siku? Wewe mzungu mweusi upo serious kweli?
 
Mtume Muhammad (S.A.W) alikuwa na sifa nyingi za kipekee ambazo zimekuwa mfano wa kuigwa kwa Waislamu na wanadamu wote. Baadhi ya sifa zake kuu ni:

  1. Uadilifu na Uaminifu (Al-Amin)
    Mtume Muhammad alijulikana kwa uaminifu na uadilifu wake tangu utoto. Alipewa jina la "Al-Amin" maana yake ni "mwaminifu" kwa sababu watu walikuwa na imani naye sana katika masuala ya mali na siri zao.
  2. Huruma na Upole
    Alikuwa na huruma kubwa kwa wanadamu, wanyama, na mazingira. Aliwahurumia maskini, mayatima, na wale waliokandamizwa. Mtume Muhammad alihimiza watu kuwasaidia wengine, na upole wake ulionekana hata kwa maadui zake.
  3. Uvumilivu
    Katika nyakati za changamoto na mateso, Mtume Muhammad alionyesha uvumilivu mkubwa. Alivumilia mateso ya Maquraishi kwa miaka mingi kabla ya hijra kwenda Madina, na hakujibu mabaya kwa mabaya, bali aliwapa watu muda wa kutubu na kubadilika.
  4. Haki na Usawa
    Mtume Muhammad alikuwa mlinzi wa haki na usawa kati ya watu wa tabaka zote. Alipinga ubaguzi wa aina yoyote, iwe ni kwa rangi, rangi au hadhi ya kijamii. Alifundisha kuwa watu wote wako sawa mbele ya Mungu, na cheo kinachopimwa ni uchamungu wao.
  5. Unyenyekevu
    Licha ya kuwa kiongozi mkubwa na Mtume wa mwisho, Muhammad (S.A.W) aliishi maisha ya unyenyekevu. Alikataa anasa na maisha ya kifahari, na alikuwa mfano wa jinsi ya kuishi kwa unyenyekevu, bila ya kujali nafasi au cheo chake.
  6. Ujasiri
    Mtume Muhammad alionyesha ujasiri mkubwa katika kupigania haki na uadilifu. Aliongoza vita kadhaa bila woga kwa ajili ya kulinda dini na umma wake dhidi ya dhulma, huku akizingatia kanuni za haki hata wakati wa vita.
  7. Ukweli na Uaminifu
    Alikuwa mkweli daima, hata katika mazingira magumu au yanayotishia maisha yake. Hakuwahi kusema uwongo, na Waislamu wanamfuata katika kuwa waaminifu na kusema ukweli daima.
  8. Upendo kwa Familia na Wafuasi
    Mtume Muhammad alikuwa mume na baba mwenye upendo mkubwa. Alitenda haki na upendo kwa wake zake, watoto wake, na wafuasi wake wote. Aliwahimiza watu kuwapenda familia zao na kuwajali kwa moyo wa dhati.
  9. Uchaji Mungu na Ibada
    Mtume Muhammad alikuwa na ibada kubwa kwa Allah (S.W). Aliomba kwa bidii, alifunga sana, na alikuwa na uchaji wa kweli kwa Mwenyezi Mungu. Alikuwa mfano bora wa jinsi ya kuishi maisha ya kidini.
Sifa hizi zinamfanya Mtume Muhammad (S.A.W) kuwa mfano wa kipekee wa maadili na tabia njema kwa wanadamu wote.

Duuh!
 
Neno liko wazi kuwa Mbinguni Kuna kula na kunywa,

Maandiko pia yanasema, chakula kimojawapo Cha Mungu ni Sifa. Ndio maana Mbinguni 24/7 ni kumsifu na kumwabudu Mungu.

Halafu pia ujue mbingu ni Moja, nje ya kumwamini Yesu, ni kuzimu na JEHANUM utaenda.
Sasa kama sitaki hiyo adhabu ya kusifu 24/7 inakuaje ,huko kuna freewill au watu wanakua programmed kufata yaliyoandaliwa tu
 
Sasa kama sitaki hiyo adhabu ya kusifu 24/7 inakuaje ,huko kima freewill au watu wanakua programmed kufata yaliyoandaliwa tu
Wabishi na viburi hawaingii Mbinguni, Kwa wabishi ni kuzimu, na shetani pia hapendi kubishiwa, utatinduliwa ipasavyo.

Njoo Kwa Yesu Kuna Uzima.
 
Neno liko wazi kuwa Mbinguni Kuna kula na kunywa,

Maandiko pia yanasema, chakula kimojawapo Cha Mungu ni Sifa. Ndio maana Mbinguni 24/7 ni kumsifu na kumwabudu Mungu.

Halafu pia ujue mbingu ni Moja, nje ya kumwamini Yesu, ni kuzimu na JEHANUM utaenda.

Hayo ni mawazo yako? ya mwamposi? au ya bibulia
 
Back
Top Bottom