The useful idiot
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 1,019
- 2,670
Wewe ndio hamna ulijualo mlokoleMzee mi naomba tuachane na hayo mambo, kwa jinsi tuu unavo ongea unaonekana hujui mambo mengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio hamna ulijualo mlokoleMzee mi naomba tuachane na hayo mambo, kwa jinsi tuu unavo ongea unaonekana hujui mambo mengi.
Ndo hao mashehena wanofnya maulidiMakhurafi ndo manini hayo kaka??
Yes. NI DINI
Halafu unakuta mtu ana uhakika akifa anaenda piga mbupu bikra 72 lakini bado anakuwa anajificha kwa kuvaa mavazi ya kike huko gaza.🤣🤣🤣🤣 karibuni tule nimeagiza 🐖 na ndizi 4 za kuponda.Vipi kuhusu wale mabikra 72 mlioaidiwa kule peponi??
Jamaa una akili ndogo kama kisoda. Sasa hapo umeshindwa hata kufikiria kama kuna kitu kwenye hiyo dini mpaka wanatumia lugha unique.??? Unaswali popote unaingia msikiti wowote.?? Huoni kama ni dini ambayo ipo katika mpangilio mzuri na badala yake unageuza kibao kuwa udhaifu.?? Ama kweli ndugu zetu mna macho lakin hamuoniIngekuwa dini, kila mmoja angekuwa anamuabudu kwa lugha yake. Lkn kama wote wanalazimishwa kumuabudu Mungu kwa lugha moja, basi nachelea kusema hiyo siyo dini. Ni mpango wa waarabu kueneza mila, desturi na tamaduni zao nje ya mipaka yao.
Jamaa una akili ndogo kama kisoda. Sasa hapo umeshindwa hata kufikiria kama kuna kitu kwenye hiyo dini mpaka wanatumia lugha unique.??? Unaswali popote unaingia msikiti wowote.?? Huoni kama ni dini ambayo ipo katika mpangilio mzuri na badala yake unageuza kibao kuwa udhaifu.?? Ama kweli ndugu zetu mna macho lakin hamuoni
Sawa hawa wa kujitoa muhanga wame copy wapi tabia hiyoMtume Muhammad (S.A.W) alikuwa na sifa nyingi za kipekee ambazo zimekuwa mfano wa kuigwa kwa Waislamu na wanadamu wote. Baadhi ya sifa zake kuu ni:
Sifa hizi zinamfanya Mtume Muhammad (S.A.W) kuwa mfano wa kipekee wa maadili na tabia njema kwa wanadamu wote.
- Uadilifu na Uaminifu (Al-Amin)
Mtume Muhammad alijulikana kwa uaminifu na uadilifu wake tangu utoto. Alipewa jina la "Al-Amin" maana yake ni "mwaminifu" kwa sababu watu walikuwa na imani naye sana katika masuala ya mali na siri zao.- Huruma na Upole
Alikuwa na huruma kubwa kwa wanadamu, wanyama, na mazingira. Aliwahurumia maskini, mayatima, na wale waliokandamizwa. Mtume Muhammad alihimiza watu kuwasaidia wengine, na upole wake ulionekana hata kwa maadui zake.- Uvumilivu
Katika nyakati za changamoto na mateso, Mtume Muhammad alionyesha uvumilivu mkubwa. Alivumilia mateso ya Maquraishi kwa miaka mingi kabla ya hijra kwenda Madina, na hakujibu mabaya kwa mabaya, bali aliwapa watu muda wa kutubu na kubadilika.- Haki na Usawa
Mtume Muhammad alikuwa mlinzi wa haki na usawa kati ya watu wa tabaka zote. Alipinga ubaguzi wa aina yoyote, iwe ni kwa rangi, rangi au hadhi ya kijamii. Alifundisha kuwa watu wote wako sawa mbele ya Mungu, na cheo kinachopimwa ni uchamungu wao.- Unyenyekevu
Licha ya kuwa kiongozi mkubwa na Mtume wa mwisho, Muhammad (S.A.W) aliishi maisha ya unyenyekevu. Alikataa anasa na maisha ya kifahari, na alikuwa mfano wa jinsi ya kuishi kwa unyenyekevu, bila ya kujali nafasi au cheo chake.- Ujasiri
Mtume Muhammad alionyesha ujasiri mkubwa katika kupigania haki na uadilifu. Aliongoza vita kadhaa bila woga kwa ajili ya kulinda dini na umma wake dhidi ya dhulma, huku akizingatia kanuni za haki hata wakati wa vita.- Ukweli na Uaminifu
Alikuwa mkweli daima, hata katika mazingira magumu au yanayotishia maisha yake. Hakuwahi kusema uwongo, na Waislamu wanamfuata katika kuwa waaminifu na kusema ukweli daima.- Upendo kwa Familia na Wafuasi
Mtume Muhammad alikuwa mume na baba mwenye upendo mkubwa. Alitenda haki na upendo kwa wake zake, watoto wake, na wafuasi wake wote. Aliwahimiza watu kuwapenda familia zao na kuwajali kwa moyo wa dhati.- Uchaji Mungu na Ibada
Mtume Muhammad alikuwa na ibada kubwa kwa Allah (S.W). Aliomba kwa bidii, alifunga sana, na alikuwa na uchaji wa kweli kwa Mwenyezi Mungu. Alikuwa mfano bora wa jinsi ya kuishi maisha ya kidini.
Ukimuona mtu anajitoa muhanga ujue huyo kafanyiwa ukatili wa kupitiliza na hakuna msaada mwengine anapatiwa. Hii hata wakiristo wafanya sana. Enzi za hitlerSawa hawa wa kujitoa muhanga wame copy wapi tabia hiyo
TuTakua kama malaika yani unamaanisha malaika hali wala hanywi na wala hana matamanio yotote sasa inakuaje biblia imewataja malaika ambao walioweza kuja kuzaa na wanadamu na kupelekea kuzaliwa kwa wanefilli na wakat ulishasema kua malaika hawana matamanio ya kinafsiSoma (Mathayo 26:29),
Akiwa na wanafunzi wake katika last supper, anawaambia sitakunywa tena mzabibu huu, Hadi pale atakapokunywa MBINGUNI.
Mbinguni Kuna kula na kunywa, ila habari za Kuoa mabikra 72 ni uongo wa Mudi, Mbinguni hakuna Kuoa na kuolewa, tutakuwa kama Malaika Mbinguni.
Amen
Malaika ni mtakatifu, msafi, akiasi tu, direct anakuwa Pepo aliyelaaniwa, Si tena Malaika.TuTakua kama malaika yani unamaanisha malaika hali wala hanywi na wala hana matamanio yotote sasa inakuaje biblia imewataja malaika ambao walioweza kuja kuzaa na wanadamu na kupelekea kuzaliwa kwa wanefilli na wakat ulishasema kua malaika hawana matamanio ya kinafsi
Kwann tumswalie yeye hawezi jiswalia mwenyeweMtu kusherehekea mazazi/birthday yake siyo tatizo, waislam kukusanyana na kumswalia mtume na kuwaidhiana siyo tatizo, maana kumswalia mtume ni agizo la Quran,haliwezi kuwa kosa kisa waislam wamekusanyana kufanya hivyo
Allah akbarTakbiir...
Black ArabAllah akbar
Alikuchekesha wap?Mtume anachekesha sanaaa ila mm ni roli mode wake napenda sana kupiga mbupu