Leo ni Siku ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W.)

Leo ni Siku ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W.)

Sifa mojawapo ya Mungu, ni muweza wa yote,

Ikiwa aliwafufua watu, Yohana akiwemo, ashindwe na nini?

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
Sifa moja wapi ya MUNGU HALALI USINGIZI. haya niambie yesu alikuwa halali?
 

Attachments

  • Screenshot_20240916_104146_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20240916_104146_Samsung Internet.jpg
    101.2 KB · Views: 2
Mwenye aya au kifungu kinachohusu mabikra 72 atuletee hapa tusome na tujifunze hapo!
 
Sifa moja wapi ya MUNGU HALALI USINGIZI. haya niambie yesu alikuwa halali?
Isaya 40:28-29

Mungu hasinzii Wala hachoki, mwili wake ndio ulisinzia, Yeye ni Mungu, uungu wa Yesu ni ROHO yake. Hivyo hajawahi sinzia.

Yesu Yu hai Hadi sasa tunavyoongea, hasinzii Wala hachoki, anahudumia Ulimwengu mzima kupitia Roho wake MTAKATIFU.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
 
Isaya 40:28-29

Mungu hasinzii Wala hachoki, mwili wake ndio ulisinzia, Yeye ni Mungu, uungu wa Yesu ni ROHO yake. Hivyo hajawahi sinzia.

Yesu Yu hai Hadi sasa tunavyoongea, hasinzii Wala hachoki, anahudumia Ulimwengu mzima kupitia Roho wake MTAKATIFU.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
Kwani roho si ipo ndani ya mwili?
Kama mwili wake ukilala si ndo yeye kalala?mwili unawakilisha roho yako wewe ukilala na roho yako inalala.kwa hyo SIFA YA UMUNGU HANA maana alikuwa analala.

Je yesu alikuwa na sifa ya kula chakula na kwenda chooni?
 
Kwani roho si ipo ndani ya mwili?
Kama mwili wake ukilala si ndo yeye kalala?mwili unawakilisha roho yako wewe ukilala na roho yako inalala.kwa hyo SIFA YA UMUNGU HANA maana alikuwa analala.

Je yesu alikuwa na sifa ya kula chakula na kwenda chooni?
Roho inalala?

Mungu alipokuja katika mwili wa mwanadamu lazima ale kama WANADAMU.

Usishangae kuhusu kula, Mbinguni pia Kuna vyakula na vinywaji pia.

Nadhani unajua kuwa Yesu alikufa na kufufuka na kupata Mbinguni.

Anasubiri umwamini akuokoe na akupe maisha ya milele, usijetupwa JEHANUM.
 
Roho inalala?

Mungu alipokuja katika mwili wa mwanadamu lazima ale kama WANADAMU.

Usishangae kuhusu kula, Mbinguni pia Kuna vyakula na vinywaji pia.

Nadhani unajua kuwa Yesu alikufa na kufufuka na kupata Mbinguni.

Anasubiri umwamini akuokoe na akupe maisha ya milele, usijetupwa JEHANUM.
Acha uongo.mbinguni hakuna vyakula.
Nani anayepika huko mbinguni.?
 
Acha uongo.mbinguni hakuna vyakula.
Nani anayepika huko mbinguni.?
Soma (Mathayo 26:29),

Akiwa na wanafunzi wake katika last supper, anawaambia sitakunywa tena mzabibu huu, Hadi pale atakapokunywa MBINGUNI.

Mbinguni Kuna kula na kunywa, ila habari za Kuoa mabikra 72 ni uongo wa Mudi, Mbinguni hakuna Kuoa na kuolewa, tutakuwa kama Malaika Mbinguni.

Amen
 
Soma (Mathayo 26:29),

Akiwa na wanafunzi wake katika last supper, anawaambia sitakunywa tena mzabibu huu, Hadi pale atakapokunywa MBINGUNI.

Mbinguni Kuna kula na kunywa, ila habari za Kutoa mabikra 72 ni uongo wa Mudi, Mbinguni hakuna Kutoa na kutolewa, tutakuwa kama Malaika Mbinguni.

Amen
Nimekuuliz anayepika vyakula vya mbinguni ni nani?
 
Mtume Muhammad (S.A.W) alikuwa na sifa nyingi za kipekee ambazo zimekuwa mfano wa kuigwa kwa Waislamu na wanadamu wote. Baadhi ya sifa zake kuu ni:

  1. Uadilifu na Uaminifu (Al-Amin)
    Mtume Muhammad alijulikana kwa uaminifu na uadilifu wake tangu utoto. Alipewa jina la "Al-Amin" maana yake ni "mwaminifu" kwa sababu watu walikuwa na imani naye sana katika masuala ya mali na siri zao.
  2. Huruma na Upole
    Alikuwa na huruma kubwa kwa wanadamu, wanyama, na mazingira. Aliwahurumia maskini, mayatima, na wale waliokandamizwa. Mtume Muhammad alihimiza watu kuwasaidia wengine, na upole wake ulionekana hata kwa maadui zake.
  3. Uvumilivu
    Katika nyakati za changamoto na mateso, Mtume Muhammad alionyesha uvumilivu mkubwa. Alivumilia mateso ya Maquraishi kwa miaka mingi kabla ya hijra kwenda Madina, na hakujibu mabaya kwa mabaya, bali aliwapa watu muda wa kutubu na kubadilika.
  4. Haki na Usawa
    Mtume Muhammad alikuwa mlinzi wa haki na usawa kati ya watu wa tabaka zote. Alipinga ubaguzi wa aina yoyote, iwe ni kwa rangi, rangi au hadhi ya kijamii. Alifundisha kuwa watu wote wako sawa mbele ya Mungu, na cheo kinachopimwa ni uchamungu wao.
  5. Unyenyekevu
    Licha ya kuwa kiongozi mkubwa na Mtume wa mwisho, Muhammad (S.A.W) aliishi maisha ya unyenyekevu. Alikataa anasa na maisha ya kifahari, na alikuwa mfano wa jinsi ya kuishi kwa unyenyekevu, bila ya kujali nafasi au cheo chake.
  6. Ujasiri
    Mtume Muhammad alionyesha ujasiri mkubwa katika kupigania haki na uadilifu. Aliongoza vita kadhaa bila woga kwa ajili ya kulinda dini na umma wake dhidi ya dhulma, huku akizingatia kanuni za haki hata wakati wa vita.
  7. Ukweli na Uaminifu
    Alikuwa mkweli daima, hata katika mazingira magumu au yanayotishia maisha yake. Hakuwahi kusema uwongo, na Waislamu wanamfuata katika kuwa waaminifu na kusema ukweli daima.
  8. Upendo kwa Familia na Wafuasi
    Mtume Muhammad alikuwa mume na baba mwenye upendo mkubwa. Alitenda haki na upendo kwa wake zake, watoto wake, na wafuasi wake wote. Aliwahimiza watu kuwapenda familia zao na kuwajali kwa moyo wa dhati.
  9. Uchaji Mungu na Ibada
    Mtume Muhammad alikuwa na ibada kubwa kwa Allah (S.W). Aliomba kwa bidii, alifunga sana, na alikuwa na uchaji wa kweli kwa Mwenyezi Mungu. Alikuwa mfano bora wa jinsi ya kuishi maisha ya kidini.
Sifa hizi zinamfanya Mtume Muhammad (S.A.W) kuwa mfano wa kipekee wa maadili na tabia njema kwa wanadamu wote.
Acheni uongo nyie makhurafi siku alozaliwa haijulikani kitarehe ila siku alokufa ndo inojulikana kitarehe kwaio nyinyi mnasherekea kifo cha mtume na wala si kuzaliwa kwake
 
Siyo kila kitu lazima kielekezwe na aya,bali hutotakiwa kulifanya jambo ikiwa limekatazwa na aya,mfano aya imekataza kufunga ndoa na watu fulani,hivyo ambao hawakutajwa na aya ni ruksa kufunga nao ndoa,aya imeharamisha vyakula fulani, ambavyo havikutajwa ni halali bila aya kusema

Basi tukubaliane kwenye hilo hakuna aya ya Quran wala hadith haya tupe japo uthibitisho wa Sunnah mtume Muhammad aliwahi kusherehekea mazazi yake
 
Back
Top Bottom