Leo ni siku ya nne ya ndoa yangu

Monicca it seems ur very beautfull
Ila mi cha kukuambia juz cool down ndo umetoka kuolewa sasa ukianza kujibizana na wa2 ovyoovyo si vzr
Juz relax
Nikae cool wakati nashambuliwa? Uwaambie kwanza hao waachane namimi kwanza
 
Jamani hivi mie kosa langu ni nin mbona povu linawatoka namna hii?
Kama nimekosea can't you use polite language?
Au dhamira yenu ni kuniharibia?
Plz punguze jazba..matusi nayajua nawastahi tu sawa?

sawa nyie madomo zege?
 
nimekusamehe mke wangu, nitakupenda na kukulinda, nitaendelea kukushughulikia kitandani hata ukiwa unaumwa.
 
Mume ana bahati sana, ana bahati ya kukutana na kiazi.

Seriously, watu wameinunua hii hadithi??
 
Wewe ni mtoto mdongo Ngoma za wakubwa huziwezi..emu wahi shule huku pata kuchelewesha. Isitoshe ya kulogwa au kujitangazia wewe hayakuhusu kbsa..nakusihisi nenda kasome wenzio tumeshasoma natunamaisha yetu humu tuna changamshaa jukwaa tu.
Kama walisoma wanakuwa hwajaelimika kama wewe nini hja ya kujisifu kuwa wamesoma. Watu kama nyie ndio mnashusha hata adh ya kusoma.

Kwanza usidanganye watu kuwa umesoma naomba upost chet chako humu cha iyo masters pamoja na transicript na mimi nipost vyangu tuone nani amesoma kuliko kubakia na kumbela tu hpa. Et nimesoma. Msomi gani ambaye anaanika mambo yake ya chumbani.
 
Jamani hivi mie kosa langu ni nin mbona povu linawatoka namna hii?
Kama nimekosea can't you use polite language?
Au dhamira yenu ni kuniharibia?
Plz punguze jazba..matusi nayajua nawastahi tu sawa?

sawa nyie madomo zege?
Moniccca inaelekea wengi hatuamini kama kweli ndio maana tunatiririka kinyume na matarajio yako, tusamehe lakini niambie tu,
HIVI NI KWELI UMEOLEWA DADA!
 
jambilo vipi kwema mkuu
 
She fooled us all katangaza tenda ya kutangaza kuhitaji mchumba JF tarehe 14/2/2016 kaolewa 24/4/2016. Duuu hii ndoa ni yakipekee. Yani uchumba mlikaa siku 70 tu?????????????????
Si far umeshatoa mimba ngapi shost?
 
Unaweza kuwa upo sahihi
 
Ambae hajaelimika ni wewe ambaye nimefanikiwa kuigeza akili yako mpaka povu linakutoka..waliosoma wote wanajua ninachokifanya hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…