Leo ni siku ya nne ya ndoa yangu


moja ya makosa makubwa kabisa katika dini ya kiislamu mwanandoa kutoa siri za ndoa ,
huu ni wazimu wa kiwango cha juu sana,
 
Mrembo uliolewa kweli? i thought you were kidding!!


[emoji33] [emoji33] [emoji33] [emoji33]
 
moja ya makosa makubwa kabisa katika dini ya kiislamu mwanandoa kutoa siri za ndoa ,
huu ni wazimu wa kiwango cha juu sana,
Unafikiri kila mtu muislam!!


Jin.ga kabisa wewe...
 
moja ya makosa makubwa kabisa katika dini ya kiislamu mwanandoa kutoa siri za ndoa ,
huu ni wazimu wa kiwango cha juu sana,
Nenda kafundishe madra hapa si penyewe
 
...ulishawahi kuugua kichaa vile eti?
Wanaougua kichaa ni wale wanawake wanaoolewa hata wiki hawana ktk ndoa ila wako bize kwenye mitandao ya kijamii kutangaza kuwa fainali wametoa gundu, na pia kutangaza siri za wenza wao. Huo ndo ukichaa, sijawahi umwa ukichaa.
Mi ni Me.
 
Unapataje nafasi ya kuwa Jf na kujibizana na watu kama hivii na ni siku ya 4.

Huu muda mtu unakua busy na hubby, all attention kwake..kupigana miti kwa kwenda mbele na hichi ki whether... sa mwenzangu mmhh
 
Wewe ulikuwa Bikra ?
 
Muongo unapenda kuonekana na,weww una thread jamii forums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…