Mr Hero
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 5,540
- 7,455
Hv, kweli kwa ajili zangu timamu nitoe siri za mume wangu????
Iwe anaweza au hawezi, it is and will remain my secret.
Nashindwa kukupongeza hata kama umeolewa,
Mhhhh!!!!!!!!!!!!!!! Pole sana mama. Dunia imebadilika,, bayana tunaficha halafu ya siri ndo yanaanikwa.
moja ya makosa makubwa kabisa katika dini ya kiislamu mwanandoa kutoa siri za ndoa ,
huu ni wazimu wa kiwango cha juu sana,