Leo ni siku ya nne ya ndoa yangu

Leo ni siku ya nne ya ndoa yangu

Yani mimi ningekuzabua mabanzi ya kutosha ingawa ni siku ya nne.
 
Uje hapa baada ya miaka 2 kutoa mrejesho!
Dah ila jamaa ana bahti. Yani wanawake wa ckuiz? !!!!!!!!!!!!!!!!Yani wewe ndye anaomba ngono sio mwanaume duuuh. Dada wewe ni hatar kama sio kimeo.
 
Alafu unatoa picha kuwa umeangaika sana kuolewa. Ni dhahil kuwa midume mingi imepitia ukaishia kusikilizia ndoa barabarani misafara ikipita ya haruc. Pole ila unaudh
 
Hbr zenu wanajamii wenzangu.

Nina furaha na heshima kubwa kuwaandikia machache kati ya mengi yaliyojili tangu nimefunga ndoa na Leo ikiwa ni siku ya nne.

Kwanza kbsa nachukua nafasi hii kumuomba msamaha mume wangu mpenzi..

Nilikuwa namashaka na maamuzi YAKE pale anilipo nikatalia kusex kabla ya ndoa lkn kumbe dhamira YAKE kwangu ilikuwa njema sana.

Najisikia wa thamani na mwenye bahati kupata mume mwenye msimamo wa dhati hakika amenijengea imani naye kubwa sana.

Pili nashukuru wanajamii wote kwa ushauri wenu.

Wa ndugu hofu yangu kubwa ilikuwa ni pengine jamaa angekuwa hana uwezo wa nguvu za kiume, lakni imekuwatofauti sana na mawazo yangu.
Nashukuru nimepata mume anayejua wajibu wake wa kitandani vyema sana...wandugu ninaridhishwa kwa kiwango cha juu kbsa..

Mume wangu I'm sorry kukuwazia vibaya.

Ningependa pia kuchukua wasaa huu kuwatia moyo wanaotafuta wenzi Mungu awafanikishe na msikate tamaa. Mliokuwa mnangoja mrejesho hayo ndiyo yaliyojili..dushe lanitosha kbsa sihitaji zaidi.

Karibu kama kuna mwenye lolote.
 
Hv, kweli kwa ajili zangu timamu nitoe siri za mume wangu????
Iwe anaweza au hawezi, it is and will remain my secret.
Nashindwa kukupongeza hata kama umeolewa,

Mhhhh!!!!!!!!!!!!!!! Pole sana mama. Dunia imebadilika,, bayana tunaficha halafu ya siri ndo yanaanikwa.
Atakuwa wa hukohuko kwenu Dar
 
Hbr zenu wanajamii wenzangu.

Nina furaha na heshima kubwa kuwaandikia machache kati ya mengi yaliyojili tangu nimefunga ndoa na Leo ikiwa ni siku ya nne.

Kwanza kbsa nachukua nafasi hii kumuomba msamaha mume wangu mpenzi..

Nilikuwa namashaka na maamuzi YAKE pale anilipo nikatalia kusex kabla ya ndoa lkn kumbe dhamira YAKE kwangu ilikuwa njema sana.

Najisikia wa thamani na mwenye bahati kupata mume mwenye msimamo wa dhati hakika amenijengea imani naye kubwa sana.

Pili nashukuru wanajamii wote kwa ushauri wenu.

Wa ndugu hofu yangu kubwa ilikuwa ni pengine jamaa angekuwa hana uwezo wa nguvu za kiume, lakni imekuwatofauti sana na mawazo yangu.
Nashukuru nimepata mume anayejua wajibu wake wa kitandani vyema sana...wandugu ninaridhishwa kwa kiwango cha juu kbsa..

Mume wangu I'm sorry kukuwazia vibaya.

Ningependa pia kuchukua wasaa huu kuwatia moyo wanaotafuta wenzi Mungu awafanikishe na msikate tamaa. Mliokuwa mnangoja mrejesho hayo ndiyo yaliyojili..dushe lanitosha kbsa sihitaji zaidi.

Karibu kama kuna mwenye lolote.
nawe bwana, unatuchosha!
 
Duh ndiyo tunasema utandawazi kwamba kila jambo linawekwa wazi.
Nina mashaka sana na wewe Monica kama ni kweli umeingia kwenye kwa muda wa siku nne unaeleza yote yaliyojiri chumbani

Utakuwa ni jipu kubwa ambalo litatumbuliwa muda si mrefu na kama ni kweli wakati unaandika hayo na mmeo yupo na anayakubali.
Wote mtakuwa na matatizo ya mt indio wa u bongo
 
Hv, kweli kwa ajili zangu timamu nitoe siri za mume wangu????
Iwe anaweza au hawezi, it is and will remain my secret.
Nashindwa kukupongeza hata kama umeolewa,

Mhhhh!!!!!!!!!!!!!!! Pole sana mama. Dunia imebadilika,, bayana tunaficha halafu ya siri ndo yanaanikwa.
Vivac ulichokisema ukweli, hayo mambo ya ndani huwezi kuja kuyamwaga huku barazani
 
Yako wapi maadili ya ndoa inaonekana wewe binti ukipata fursa ya kuongea na shoga zako utawaambia kila kitu mpaka jamaa akifika anakuwaje au anakupa mambo kwa staili zipi?utaibiwa na hiyo ndoa itakushinda .nakushauri usiwe na domo payu kwenye mambo yahusuyo ndoa yako.
 
Back
Top Bottom