amatolo
JF-Expert Member
- Jul 24, 2017
- 690
- 712
Habari za asubuhi wakuu, kisa hiki ni cha kweli na kimenitokea mimi mwenyewe.
Nimekuwa na tatizo la kupata maumivu ya kawaida na ya kipindi kifupi, maumivu haya huwa nayasikia kwenye korodani zangu, tatizo hili lilianza miaka mitatu iliyopita. Tatizo lilipoanza nilihisi ni mshipa wa ngiri nilienda kwa watalaam nikapewa dawa nikatumia lakini tatizo halikuisha, pia nilipohojiwa na mtalaam dalili zake zilikuwa tofauti kabsa na zile za mshipa wa ngiri,.
1. Sijawahi pata tatizo lolote wakati wa baridi, au ngurumo
2. Sijawahi pata maswahibu yoyote yale wanayopata wenye tatizo la ngiri.
3. Maumivu yamekuwa yakitokea muda wowote ule (nimekuwa nayasika kwa muda na badae kupotea), maumivu haya huanzia kwenye korodani na kupanda taratibu kupitia mirija ya korodani na badae hupotea, maumivu haya yakianza huwa napata maumivu kidogo tumboni.
Siku tano zilizopita maumivu haya yalianza mfululizo, korodani zilikuwa zinauma muda wote totauti na kipindi cha nyuma ambapo nilikuwa nayapata kwa dadika moja au mbili na badae kupotea kwa muda mrefu (mwezi mmoja mpaka minne), tofauti na kipindi hiki. Hali hii imeendelea kwa muda wa siku tatu/nne mfululizo cha ajaabu ambacho nimeshindwa kukielewa toka juzi maumivu haya siyasikii tena lakini ukweli ni kwamba bwana mkubwa kalala fofofo, hata nikienda kukojoa jamaa kasinzia tu, nimejaribu kujichunguza toka jana pindi niamkapo lakini jogoo bado kasinzia tu, nmejaribu kuvuta hisia kama nataka kuingia ulingoni lakin jamaa bado kazinda. Najua humu ndani tuna vipaji vyote naomba kama kuna mwenye kuelewa tatizo hili anisaidie. Utani ufuate baada ya suluhisho, Ahsante
Nimekuwa na tatizo la kupata maumivu ya kawaida na ya kipindi kifupi, maumivu haya huwa nayasikia kwenye korodani zangu, tatizo hili lilianza miaka mitatu iliyopita. Tatizo lilipoanza nilihisi ni mshipa wa ngiri nilienda kwa watalaam nikapewa dawa nikatumia lakini tatizo halikuisha, pia nilipohojiwa na mtalaam dalili zake zilikuwa tofauti kabsa na zile za mshipa wa ngiri,.
1. Sijawahi pata tatizo lolote wakati wa baridi, au ngurumo
2. Sijawahi pata maswahibu yoyote yale wanayopata wenye tatizo la ngiri.
3. Maumivu yamekuwa yakitokea muda wowote ule (nimekuwa nayasika kwa muda na badae kupotea), maumivu haya huanzia kwenye korodani na kupanda taratibu kupitia mirija ya korodani na badae hupotea, maumivu haya yakianza huwa napata maumivu kidogo tumboni.
Siku tano zilizopita maumivu haya yalianza mfululizo, korodani zilikuwa zinauma muda wote totauti na kipindi cha nyuma ambapo nilikuwa nayapata kwa dadika moja au mbili na badae kupotea kwa muda mrefu (mwezi mmoja mpaka minne), tofauti na kipindi hiki. Hali hii imeendelea kwa muda wa siku tatu/nne mfululizo cha ajaabu ambacho nimeshindwa kukielewa toka juzi maumivu haya siyasikii tena lakini ukweli ni kwamba bwana mkubwa kalala fofofo, hata nikienda kukojoa jamaa kasinzia tu, nimejaribu kujichunguza toka jana pindi niamkapo lakini jogoo bado kasinzia tu, nmejaribu kuvuta hisia kama nataka kuingia ulingoni lakin jamaa bado kazinda. Najua humu ndani tuna vipaji vyote naomba kama kuna mwenye kuelewa tatizo hili anisaidie. Utani ufuate baada ya suluhisho, Ahsante