Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nimetimiza 33
Duuh, familia ninayo ila hapo kwenye makazi ndo pakufanyia kazi
Mimi Nina 30 ilitakiwa niwe wapi?Kwa umri wako ulitakiwa uwe na familia pamoja na makazi ya kudumu.
kumbuka dua na maombi katika kila hatua unayopiga.Kweli mkuu,na ni moja kati ya vitu ambavyo nimepanga kuvifanya,nidhamu katika pesa najua hapa ndo penye siri kubwa ya mafanikio
ulitakiwa uwe na familia na uwe umetoka katika kundi la watu masikini.Mimi Nina 30 ilitakiwa niwe wapi?
Asante sana QueenHeri ya siku ya siku ya kuzaliwa mkuu, shukuru Mungu kwa zawadi ya uhai
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ulitakiwa uwe na familia na uwe umetoka katika kundi la watu masikini.
kupanga ni kuchaguaKwa umri wako ulitakiwa uwe na familia pamoja na makazi ya kudumu.
Kwa umri wako ulitakiwa uwe na familia pamoja na makazi ya kudumu.
Mtaalamu Mimi nina funga 28 mwezi wa Saba ilitakiwa niwe wapi?ulitakiwa uwe na familia na uwe umetoka katika kundi la watu masikini.