Leo nilikuwa nipeleke barua ya posa ila nilivyofika chuo cha Ushirika Moshi nimeingia mitini

Leo nilikuwa nipeleke barua ya posa ila nilivyofika chuo cha Ushirika Moshi nimeingia mitini

Huko Moshi nimepita sana na Arusha pia nimepita sana.
Arusha kweli kuna pisi kali kwa sababu kule kuna mchanganyiko wa watu kutoka Mbulu, Babati, Kondoa, Singida, Wamasai, Wameru, Wapare na Wachaga.
Kwa hiyo unakuta kule Arusha wachaga ambao ni shapeless wanamezwa na hao watu wa jamii zingine
Mmekariri sana, tangu waamue kuchanganya damu ni visu asikwambie mtu. We njoo Moshi ujionee, usibaki kukariri vitu ulivyosimuliwa miaka ya 40 huko.
 
Hahaha hawa jamaa hawapo serious, watu wamechanganya damu sana sikuhizi Pisi za kichaga zenye mizigo na miguu ya bia zipo pia. Kuna HYBRiD sana hasa zinazotoka machame ni hatari na nusu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah kumbe hybrid nikajua zile za og kabisa
 
Nafikiri mkuu unajaribu kuacha mbachao kwa msala upitao kila la kheri
 
Aisee! Asikuambie mtu Moshi kuna warembo..

-Leo nilikuwa Moshi kwa tukio la kihistoria la kupeleka barua na kujitambulisha kwa wazee wa binti, ila wakati nikitembea mitaani nikitazama mandhari ya jiji la Moshi nikajikuta nimetokea maeneo ya Chuo cha Ushirika Moshi salalee kuna watoto wakali balaa na kilicho nipeleka huko nikaghairi, naona kuna pisi zina viwango kiasi kwamba yule nae enda kujitambulisha kwao nighairi kwanza..
Bullshit, wacha kujifurahisha mkuu. Moshi kuna wasichana wa kubahatisha na ukimuona mzuri basi atakuwa ana kasoro fulani, kama meno kuoza, miguu membamba, tako kubwa ila sura mbovu, yaani si ya kuridhisha. Maziwa makubwa sura nzuri, sura nzuri ila ni mnywa mbege kishenzi. Pale chuo cha Ushirika walio wengi si wa pale Moshi, unatambua hiyo?
 
Hapana anavyowasifia madem wa kichaga afu nyie hua weusi na Masimtank fulani hvi amaizing
Jamani huko uchagani hamjaona wanawake weusi..Mbona wapo wengi Sana...
Usijali sisi weusi na masimtanki pia tuna soko letu Wala hatukunji sura Mkuu
 
Aisee! Asikuambie mtu Moshi kuna warembo..

-Leo nilikuwa Moshi kwa tukio la kihistoria la kupeleka barua na kujitambulisha kwa wazee wa binti, ila wakati nikitembea mitaani nikitazama mandhari ya jiji la Moshi nikajikuta nimetokea maeneo ya Chuo cha Ushirika Moshi salalee kuna watoto wakali balaa na kilicho nipeleka huko nikaghairi, naona kuna pisi zina viwango kiasi kwamba yule nae enda kujitambulisha kwao nighairi kwanza..

Uzuri wa Mwanamke ni Bikra, utakuja kunielewa siku moja, natamani unielewe kabla hujawa maji ya jioni
 
Back
Top Bottom