Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,343
- 10,799
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].....Haya bhanaDah mie chaguo langu ni nyanda za juu kusini mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] huku napiga friendly match tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].....Haya bhanaDah mie chaguo langu ni nyanda za juu kusini mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] huku napiga friendly match tu
Mmekariri sana, tangu waamue kuchanganya damu ni visu asikwambie mtu. We njoo Moshi ujionee, usibaki kukariri vitu ulivyosimuliwa miaka ya 40 huko.
Hapana anavyowasifia mademu wa kichaga afu nyie huwa weusi na Masimtank fulani hivi amaizingMkuuu.. sisi wanyaki tukunje sura za Nini..Kama mchaga Sijui mpare kakosa mume?
Vipi lakini we mzigo unao? Upo vizuri?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].....Haya bhana
[emoji120]All the best mkuu
Hahahah kumbe hybrid nikajua zile za og kabisaHahaha hawa jamaa hawapo serious, watu wamechanganya damu sana sikuhizi Pisi za kichaga zenye mizigo na miguu ya bia zipo pia. Kuna HYBRiD sana hasa zinazotoka machame ni hatari na nusu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha hata mimi kuna pisi kama mbili nimezitosa kitandani hamna kituPisi za Moshi zile zenye sura nzuri maziwa makubwa na miguu myembamba kama kuni !
Bullshit, wacha kujifurahisha mkuu. Moshi kuna wasichana wa kubahatisha na ukimuona mzuri basi atakuwa ana kasoro fulani, kama meno kuoza, miguu membamba, tako kubwa ila sura mbovu, yaani si ya kuridhisha. Maziwa makubwa sura nzuri, sura nzuri ila ni mnywa mbege kishenzi. Pale chuo cha Ushirika walio wengi si wa pale Moshi, unatambua hiyo?Aisee! Asikuambie mtu Moshi kuna warembo..
-Leo nilikuwa Moshi kwa tukio la kihistoria la kupeleka barua na kujitambulisha kwa wazee wa binti, ila wakati nikitembea mitaani nikitazama mandhari ya jiji la Moshi nikajikuta nimetokea maeneo ya Chuo cha Ushirika Moshi salalee kuna watoto wakali balaa na kilicho nipeleka huko nikaghairi, naona kuna pisi zina viwango kiasi kwamba yule nae enda kujitambulisha kwao nighairi kwanza..
Hawana mpango kabisa, wewe unachapa wao wanawaza kutapeli tu ama kuua mwanamme arithi mali awape kaka zake.Pisi za moshi kitandan magogo kabisa
Jamani huko uchagani hamjaona wanawake weusi..Mbona wapo wengi Sana...Hapana anavyowasifia madem wa kichaga afu nyie hua weusi na Masimtank fulani hvi amaizing
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....NTAWEKA PICHA HAPA..ili sikie maoni ya wadauVipi lakini we mzigo unao? Upo vizuri?
Aisee! Asikuambie mtu Moshi kuna warembo..
-Leo nilikuwa Moshi kwa tukio la kihistoria la kupeleka barua na kujitambulisha kwa wazee wa binti, ila wakati nikitembea mitaani nikitazama mandhari ya jiji la Moshi nikajikuta nimetokea maeneo ya Chuo cha Ushirika Moshi salalee kuna watoto wakali balaa na kilicho nipeleka huko nikaghairi, naona kuna pisi zina viwango kiasi kwamba yule nae enda kujitambulisha kwao nighairi kwanza..
Na mnamagaga hatarii😀😀Jamani huko uchagani hamjaona wanawake weusi..Mbona wapo wengi Sana...
Usijali sisi weusi na masimtanki pia tuna soko letu Wala hatukunji sura Mkuu
Mtuache wanyaki[emoji23][emoji23]Masimtank Wakinyaki wanasoma uzi wamekunja sura
Pole simtank jiwe gizaniMtuache wanyaki[emoji23][emoji23]
Mie kipotabo haswaPole simtank jiwe gizani