Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Malezi na ku admire boys wenzake??? I kuna harufu ya homosexuality inamsumbua huyu jamaa pengine hajaakubaliana na hio hali ndo mana anahangaika hivi.Malezi yamekuathiri kijana wangu, ili kuepuka haya yote hebu sahau yote ya nyuma na ujione kama mtu mpya.
View attachment 2001640
Yaan karibia kila asubuh lazima usimame,hata hapa nimeamka sasa hivi mashine imesimama...kuna sometimes asubuh inaweza simama hadi inauma
We huna tatizo ni hofu tu ndio inakusumbua basiYaan karibia kila asubuh lazima usimame,hata hapa nimeamka sasa hivi mashine imesimama...kuna sometimes asubuh inaweza simama hadi inauma
Na yule ambaye hata hakuna na mtoto mmoja hata wa kike alikuwa anakula Nini!?Baadhi ya mitume walikuwa hawana uwezo wa kuzalisha mtoto wa kiume kwasababu ya kula wali sana
Alikuwa hali kabisaNa yule ambaye hata hakuna na mtoto mmoja hata wa kike alikuwa anakula Nini!
BINADAMU gani asiyekulaAlikuwa hali kabisa
Sio binadamu basiBINADAMU gani asiyekula
NAkili inaniambiaa hii tangazo
Yeah, ni tangazo lakini ni real story, na ni real working products, watu wengi zimewaletea matokeo +Akili inaniambiaa hii tangazo
Sio BINADAMU lakini alizaliwa na BINADAMUSio binadamu basi
Mtu anakimbia km 4 daily kisa mbususuππ€£ππ€£π...Fanya sanaa mazoezi...
Anza kwa kukimbia km 4 endelea kuongeza kila wiki.
Wakati wa mwanzo unaweza ukawa unakimbia halafu unatembea haraka haraka.
Endelea hivyo huku ukiongeza muda wa kukimbia.
Usisahau kula sanaa matunda.
Usisahau kunywa maji mengi.
Usisahau kulala vizuri na masaa yasiopungua 6 - 8, ila siku uliyochoka zaidi upe mwili muda wa kupumzika zaidi.
#YNWA
Ushauri safi sana mkuu,Miaka 25 shida itakua mentally zaidi..
Fanya mazoezi ..Kula vizuri ..
Ukipata mdada mwambie aje kulala Hadi asubuhi ili usijipe presha ya kufanya kabla hajaondoka....
Anza kuamini huna tatizo litaondoka
Kwa njia ipi ya reproduction? sperm kukutana na yai au?Sio BINADAMU lakini alizaliwa na BINADAMU
ππππππππππMtu anakimbia km 4 daily kisa mbususuππ€£ππ€£π...
Dah nikifikiria hii schedule halafu kisa ni mbususu, nachoka kabisaππ€£ππ€£π
Ohoooooo! Thread closed!Sasa kumbe rijali kabisa, wasiwasi wa nini hadi kuja kutusumbua na 'sredi'
Halafu kuna uzi uliandika kuwa una admire vijana wa kiume, hebu fafanua zaidi...isije ikawa chanzo ndio hapo unapata stimu baada ya kupigwa pipe[emoji51]