Leo nimeamini kuwa chadema ni CHAMA cha Mbowe.

Leo nimeamini kuwa chadema ni CHAMA cha Mbowe.

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Uchaguzi ndani ya chadema umeonyesha sura halisi ya Mbowe na wafuasi wake, nimeshanga sana kusikia Mbowe anasema" eti akiona CHAMA kinazamishwa anaingia mzigoni" wewe kama nani? Mwenye hati miliki ya CHAMA? Wewe kama mwanzilishi wa CHAMA?

Wewe kama nani mfadhili wa CHAMA? Daaa zamani nilikuwa siamini watu wakisema chadema ni CHAMA cha wachaga, chadema ni mali ya Mbowe, zaidi ya, miaka 20, ww BAdo ni mwenyekiti ?

Na hauna mpango wa kutoka. Hiyo ndio democrasia mnayohubili ndani ya CHAMA chenu? Huo ni unafiki betrayal in the city.

Kwa hali hiyo ccm wataendelea kukaa madarakani miaka 100. Umedis appoint sana watanzania wanaopenda haki, wanaopenda mawazo mbadala, wanaopenda mababadiliko."hakuna masika yasio na ncha" in every action there is equal reaction , kila MTANZANIA sasa anajua rangi yako, kuwa wewe ni "shadow "

Mungu ibariki Tanzania

By mwinjilist wenu Gabeji
 
Uchaguzi ndani ya chadema umeonyesha sura halisi ya Mbowe na wafuasi wake, nimeshanga sana kusikia Mbowe anasema" eti akiona CHAMA kinazamishwa anaingia mzigoni" wewe kama nani? Mwenye hati miliki ya CHAMA? Wewe kama mwanzilishi wa CHAMA?
Wewe kama nani mfadhili wa CHAMA? Daaa zamani nilikuwa siamini watu wakisema chadema ni CHAMA cha wachaga, chadema ni mali ya Mbowe, zaidi ya, miaka 20, ww BAdo ni mwenyekiti ? Na hauna mpango wa kutoka. Hiyo ndio democrasia mnayohubili ndani ya CHAMA chenu? Huo ni unafiki betrayal in the city. Kwa hali hiyo ccm wataendelea kukaa madarakani miaka 100. Umedis appoint sana watanzania wanaopenda haki, wanaopenda mawazo mbadala, wanaopenda mababadiliko."hakuna masika yasio na ncha" in every action there is equal reaction , kila MTANZANIA sasa anajua rangi yako, kuwa wewe ni "shadow "Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji
CHADEMA itaendelea kuwa mshirika wa CCM mpaka hapo Mbowe ataamua kupisha kiti waongoze watu wengine wenye misimamo Kama kina Lisu
 
Uchaguzi ndani ya chadema umeonyesha sura halisi ya Mbowe na wafuasi wake, nimeshanga sana kusikia Mbowe anasema" eti akiona CHAMA kinazamishwa anaingia mzigoni" wewe kama nani? Mwenye hati miliki ya CHAMA? Wewe kama mwanzilishi wa CHAMA?

Wewe kama nani mfadhili wa CHAMA? Daaa zamani nilikuwa siamini watu wakisema chadema ni CHAMA cha wachaga, chadema ni mali ya Mbowe, zaidi ya, miaka 20, ww BAdo ni mwenyekiti ?

Na hauna mpango wa kutoka. Hiyo ndio democrasia mnayohubili ndani ya CHAMA chenu? Huo ni unafiki betrayal in the city.

Kwa hali hiyo ccm wataendelea kukaa madarakani miaka 100. Umedis appoint sana watanzania wanaopenda haki, wanaopenda mawazo mbadala, wanaopenda mababadiliko."hakuna masika yasio na ncha" in every action there is equal reaction , kila MTANZANIA sasa anajua rangi yako, kuwa wewe ni "shadow "

Mungu ibariki Tanzania

By mwinjilist wenu Gabeji
Gabeji aka Garbage
1) Nyerere alisema I won't let my country go to the dogs
2) Lipumba kachaguliwa Jana kuendelea na uenyekiti wa CUF akitimiza miaka Thelathini nyie Mafisiemu hilo hamlioni ila mnataka ya NCCR na CUF kuondoa viongozi bora na kuweka watakao uwa Chama.
 
Uncle Mbowe ukiachia chama December usije Machame, hiyo mali baba mkwe wako (Mtei) na mjomba wako Ndessamburo wamekukabidhi wewe. Kama unatoka, mkabidhi hata Massawe au Swai.
😀😀😀😀
 
Uncle Mbowe ukiachia chama December usije Machame, hiyo mali baba mkwe wako (Mtei) na mjomba wako Ndessamburo wamekukabidhi wewe. Kama unatoka, mkabidhi hata Massawe au Swai.
Nonsense
 
Gabeji aka Garbage
1) Nyerere alisema I won't let my country go to the dogs
2) Lipumba kachaguliwa Jana kuendelea na uenyekiti wa CUF akitimiza miaka Thelathini nyie Mafisiemu hilo hamlioni ila mnataka ya NCCR na CUF kuondoa viongozi bora na kuweka watakao uwa Chama.
Hiyo ndo democrasia mnayo hubiri, kumbe msililie kama ccm inawapiga maigeri
 
Gabeji aka Garbage
1) Nyerere alisema I won't let my country go to the dogs
2) Lipumba kachaguliwa Jana kuendelea na uenyekiti wa CUF akitimiza miaka Thelathini nyie Mafisiemu hilo hamlioni ila mnataka ya NCCR na CUF kuondoa viongozi bora na kuweka watakao uwa Chama.
Mwacheni Lisu akinyooshe CHAMA, afufue matumaimi mapya, huyo black agent, mission failed
 
Uchaguzi ndani ya chadema umeonyesha sura halisi ya Mbowe na wafuasi wake, nimeshanga sana kusikia Mbowe anasema" eti akiona CHAMA kinazamishwa anaingia mzigoni" wewe kama nani? Mwenye hati miliki ya CHAMA? Wewe kama mwanzilishi wa CHAMA?

Wewe kama nani mfadhili wa CHAMA?

Na hauna mpango wa kutoka. Hiyo ndio democrasia mnayohubili ndani ya CHAMA chenu? Huo ni unafiki betrayal in the city.

Kwa hali hiyo ccm wataendelea kukaa madarakani miaka 100. Umedis appoint sana watanzania wanaopenda haki, wanaopenda mawazo mbadala, wanaopenda mababadiliko."hakuna masika yasio na ncha" in every action there is equal reaction , kila MTANZANIA sasa anajua rangi yako, kuwa wewe ni "shadow "

Mungu ibariki Tanzania
Mbowe na machawa wake wanaiharibu cdm, wanamuita lisu mropokaji akati huko nyuma hajawahi toa siri yoyote ya chama.

Lisu ameamua kusema kwa sasa coz anataka mabadiliko ya kweli, na si blah blah za mbowe na machawa wake.
 
Back
Top Bottom