Leo nimeamini kuwa chadema ni CHAMA cha Mbowe.

Leo nimeamini kuwa chadema ni CHAMA cha Mbowe.

Wewe ni mwanachama wa chadema au mpiga porojo uku mitandaoni?..Sidhani kama unayajua yote yanayoendelea ndani ya chadema na vyama vyasiasa ili umuone mbowe anakosea.Hizi porojo zakusema cdm niya mbowe ni maneno yasiyo ni mantiki kwasababu kwakawaida kila jambo lazima liwe na muasisi.Anayetoa wazo lakuazisha kitu ndiye mwenye mali wengine wote wanabaki kua washirika.na mshirika kamwe hawawezi kua sawa na muasisi.Sisi wengine tuishie kua watazamaji kwasababu hatuna mamlaka yoyote ya maamuzi zaidi yakua wafuasi tunaobeba maono ya muasisi ata kama una machungu ila huo ndio ukweli.
 
Kabisa mkuu, watanzania wanahamu na mabadiliko ya kisiasa
Mabadiliko yakisiasa hayafanyikii mitandaoni.Jitokezee sehemu uliyopo kutoa hiyo chachu ya mabadiliko ili watu wakuunge mkono.Tukiwa na fikra zakutegemea vyama vya siasa ndo vituongoze kwenye kila kitu tutachelewa sana kwasababu ya tofauti za kimazingira na uhitaji.
 
Wewe ni mwanachama wa chadema au mpiga porojo uku mitandaoni?..Sidhani kama unayajua yote yanayoendelea ndani ya chadema na vyama vyasiasa ili umuone mbowe anakosea.Hizi porojo zakusema cdm niya mbowe ni maneno yasiyo ni mantiki kwasababu kwakawaida kila jambo lazima liwe na muasisi.Anayetoa wazo lakuazisha kitu ndiye mwenye mali wengine wote wanabaki kua washirika.na mshirika kamwe hawawezi kua sawa na muasisi.Sisi wengine tuishie kua watazamaji kwasababu hatuna mamlaka yoyote ya maamuzi zaidi yakua wafuasi tunaobeba maono ya muasisi ata kama una machungu ila huo ndio ukweli.
Duuu? KWA logic hiyo kumbe hata ccm ni ya NYERERE maana ndio mwasisi wa ccm, mkuu huo ni ubinafsi, (egoism) ya hali ya juu sana,ndo maana waafrika hatuendelei, ukinitiate tasisi au wazo kwa level ya nchi ni chako, afrika tunashida kichwani
 
Mabadiliko yakisiasa hayafanyikii mitandaoni.Jitokezee sehemu uliyopo kutoa hiyo chachu ya mabadiliko ili watu wakuunge mkono.Tukiwa na fikra zakutegemea vyama vya siasa ndo vituongoze kwenye kila kitu tutachelewa sana kwasababu ya tofauti za kimazingira na uhitaji.
Ndio, mkuu watanzania ni BAdo ni wajinga ukijitokeza tu, wanakuacha peako, ndio maana tupo humo kwa I'd fake, tutoe elimu kwanza ya kujitsmbua
 
Mabadiliko yakisiasa hayafanyikii mitandaoni.Jitokezee sehemu uliyopo kutoa hiyo chachu ya mabadiliko ili watu wakuunge mkono.Tukiwa na fikra zakutegemea vyama vya siasa ndo vituongoze kwenye kila kitu tutachelewa sana kwasababu ya tofauti za kimazingira na uhitaji.
Ajitokezee sehemu alipo ??! 😅😂
Kweli kabisa ???! 😳😀🤣
Kisha vipi ???!
 
"Nikiona CHAMA kinazamishwa Mwamba naingia mzigoni"

Hii kauli ilinishangaza sana na aliisema kwa jaziba na panic
 
Uchaguzi ndani ya chadema umeonyesha sura halisi ya Mbowe na wafuasi wake, nimeshanga sana kusikia Mbowe anasema" eti akiona CHAMA kinazamishwa anaingia mzigoni" wewe kama nani? Mwenye hati miliki ya CHAMA? Wewe kama mwanzilishi wa CHAMA?

Wewe kama nani mfadhili wa CHAMA? Daaa zamani nilikuwa siamini watu wakisema chadema ni CHAMA cha wachaga, chadema ni mali ya Mbowe, zaidi ya, miaka 20, ww BAdo ni mwenyekiti ?

Na hauna mpango wa kutoka. Hiyo ndio democrasia mnayohubili ndani ya CHAMA chenu? Huo ni unafiki betrayal in the city.

Kwa hali hiyo ccm wataendelea kukaa madarakani miaka 100. Umedis appoint sana watanzania wanaopenda haki, wanaopenda mawazo mbadala, wanaopenda mababadiliko."hakuna masika yasio na ncha" in every action there is equal reaction , kila MTANZANIA sasa anajua rangi yako, kuwa wewe ni "shadow "

Mungu ibariki Tanzania

By mwinjilist wenu Gabeji

Nikikuwa nakataa sana zamani lakini kwa sasa si chama cha mbowe bali ni supermarket yake.
 
Ndio mkuu, walikuepo watu wababe duniani lakini leo hapo sembuse huyu,et amekijenga CHAMA?
Msemo waLissu Chadema ni yetu Sote Tusibabaishane

Kuna watu wamekufa na wengine wametekwa na wapo walioko gerezani kwa ajiri ya hiki chama, Kwanini Mbowe ajione kakijenga peke yake
 
Back
Top Bottom