Leo nimeamini kuwa chadema ni CHAMA cha Mbowe.

Leo nimeamini kuwa chadema ni CHAMA cha Mbowe.

Uchaguzi ndani ya chadema umeonyesha sura halisi ya Mbowe na wafuasi wake, nimeshanga sana kusikia Mbowe anasema" eti akiona CHAMA kinazamishwa anaingia mzigoni" wewe kama nani? Mwenye hati miliki ya CHAMA? Wewe kama mwanzilishi wa CHAMA?

Wewe kama nani mfadhili wa CHAMA? Daaa zamani nilikuwa siamini watu wakisema chadema ni CHAMA cha wachaga, chadema ni mali ya Mbowe, zaidi ya, miaka 20, ww BAdo ni mwenyekiti ?

Na hauna mpango wa kutoka. Hiyo ndio democrasia mnayohubili ndani ya CHAMA chenu? Huo ni unafiki betrayal in the city.

Kwa hali hiyo ccm wataendelea kukaa madarakani miaka 100. Umedis appoint sana watanzania wanaopenda haki, wanaopenda mawazo mbadala, wanaopenda mababadiliko."hakuna masika yasio na ncha" in every action there is equal reaction , kila MTANZANIA sasa anajua rangi yako, kuwa wewe ni "shadow "

Mungu ibariki Tanzania

By mwinjilist wenu Gabeji
CCM mbona sijawasikia mkifanya uchaguzi wa mwenyekiti wenu?
 
Itafikia hatua tuchunguze uwepo wa utitiri wa vyama,maana hili la Mbowe linaleta picha ya watu kutotaka mabadiliko.
Wanataka maslahi sio dola.
Nashangaa,Lisu kugombea tu ndio chama kiwe cha mbowe?
Nashangaa sana
 
Itafikia hatua tuchunguze uwepo wa utitiri wa vyama,maana hili la Mbowe linaleta picha ya watu kutotaka mabadiliko.
Wanataka maslahi sio dola.
Nashangaa,Lisu kugombea tu ndio chama kiwe cha mbowe?
Nashangaa sana
Ni shida sana, labda lisu anzishe chake, na hawezi kumruhusu
 
Itafikia hatua tuchunguze uwepo wa utitiri wa vyama,maana hili la Mbowe linaleta picha ya watu kutotaka mabadiliko.
Wanataka maslahi sio dola.
Nashangaa,Lisu kugombea tu ndio chama kiwe cha mbowe?
Nashangaa sana
Kwakweli hata Mimi nitashangaa kama itakuwa ni kweli haya yasemwayo !
Ngoja tuone !
 
Chadema ni CHAMA cha Mbowe na ccm
 
Uchaguzi ndani ya chadema umeonyesha sura halisi ya Mbowe na wafuasi wake, nimeshanga sana kusikia Mbowe anasema" eti akiona CHAMA kinazamishwa anaingia mzigoni" wewe kama nani? Mwenye hati miliki ya CHAMA? Wewe kama mwanzilishi wa CHAMA?

Wewe kama nani mfadhili wa CHAMA? Daaa zamani nilikuwa siamini watu wakisema chadema ni CHAMA cha wachaga, chadema ni mali ya Mbowe, zaidi ya, miaka 20, ww BAdo ni mwenyekiti ?

Na hauna mpango wa kutoka. Hiyo ndio democrasia mnayohubili ndani ya CHAMA chenu? Huo ni unafiki betrayal in the city.

Kwa hali hiyo ccm wataendelea kukaa madarakani miaka 100. Umedis appoint sana watanzania wanaopenda haki, wanaopenda mawazo mbadala, wanaopenda mababadiliko."hakuna masika yasio na ncha" in every action there is equal reaction , kila MTANZANIA sasa anajua rangi yako, kuwa wewe ni "shadow "

Mungu ibariki Tanzania

By mwinjilist wenu Gabeji
Ccccccm ni chama cha urithi, kabanjanani utaisha kuwa mbunge au waziri tu. Mwendazake alipata bahati ya mtende baada ya mvurugano kati ya Kikweteee na Benja
 
Ccccccm ni chama cha urithi, kabanjanani utaisha kuwa mbunge au waziri tu. Mwendazake alipata bahati ya mtende baada ya mvurugano kati ya Kikweteee na Benja
Tanzania ukiona kwa jicho la tatu lisu ndio mpinzani wa kweli, hao wengine ni mfumo wa ccm
 
Back
Top Bottom