Leo nimeamini kuwa Yanga SC ina Mashabiki wengi kuliko timu yoyote Afrika Mashariki

Hizi timu timu ni za kiislam? Hilo ndio kosa la kiufundi ambalo hunifanya nisiwe mshabiki wa hizi timu mbili.Ukiwa na mashabiki ama wanachama wenye imani tofauti ondoa itikadi au ukitumia dini shirikisha viongozi wa dini zote hata kama ni mshabiki mmoja lazima usifanye ibada ukamwengua
 
Nisahihi ila ni mazoea yaliyojengeka hivyo
 
Hahahha
 
Wewe huwajui WAZARAMO, yeye akisikia sehemu yenye ngoma au shughuli yeye itikadi hana. Hawa wana jezi zote za simba na yanga wakiwa na sherehe simba anavaa ya simba huyo huyo Yanga wakiwa mabingwa wanavaa za Yanga

Wazaramo waache kucheza Ngoma waanze kufuatilia mpira?

Wewe ni wawapi mzew?
 
Ushamba ni mzigo.unaweza hisi jamaa wamebeba ubingwa wa Dunia wanavyo pogoma.

Ushamba ni kudhani kuwa wanashangilia Ubingwa.

Kumbe wanashangilia kulichukua mara ya 28.
 
Uto...wamekaa mguu pande mpaka Sasa.
 
Hawa wenzetu MALI wamewezaje kuwa na kombe zuri? Nafikiri kuwepo na tenda juu ya utengenezaji wa makombe ya ligi kuanzia msimu ujao.View attachment 2273028
Shida sio kombe ila maana ya hilo kombe......hata ukipewa kikombe cha chai fresh tu ilimradi maana yake haijapotea bado....wewe ni bingwa.....na maana ya bingwa ni kwamba kawasira wale wote wa chini yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…