Leo nimeamini kuwa Yanga SC ina Mashabiki wengi kuliko timu yoyote Afrika Mashariki

Inakua ngumu sana kujaji timu fulan ina mashabik wengi kwa kigezo fulan fulan ,kwa sababu mazingra leo unaweza kutaja hao mapokezi ya kombe ni mazur kwa yanga msimu huu lkn ukirejea nyuma kabisa simba nao washawai kufanya ivyo wakitoka cairo , au ukitumia kujaza uwanjan kila mmoja anajaza kwa muda wake na mazingra yake ,turud ktk ili tukio unaloamin ww ndio kigezo cha kusema yanga ina mashabik wengi hao ni mashabik tuamini wote wa yanga sawa , rud nyuma wik au wik 2 yanga hao hao walijitoa ktk shindano kama la mashabik hao hao unaosema wapo wengi na sababu kubwa kuzidiwa hamasa na wing wa upande wa pili sasa tuchukulie mashabik waliopga kula yanga na simba mpaka siku yanga anajitoa ,nan alikua mbal ,bado hatujaingia ktk mitandao ya kijamii apo yanga kaachwa mbali tukisema tuamini unavyotaka yanga kaachwa mbali sana na simba ,ila ukwel ni kwamba kunakua na mazingra fulan ikitokea basi mmoja lazima awe juu ya mwenzake lkn iyo haitosh kuitimisha moja kwa moja
 
Halafu inahuzunisha sana kwamba hawa ni majobless wote.
 
Afu hiyo fuso naskia hawakumalizia pesa ya kukodi
 
Muwashukuru Yanga kuja na hiyo idea.

La sivyo msingepata pesa ya kumsajili MOSES PHIRI.
Lugha zinagongana. Utopolo wenzako wanadai wamejitoa kwa kuwa ni idea ya Simba !! Kaeni mkubaliane lugha moja
 
Miaka 4 kombe lipo Msimbazi sasa shangwe nyingi za nini,ule ukame wa kombe la ligi pale Jangwani ndiyo umeamsha hata mashabiki maandazi waliosahau kama Yanga ipo.
Wengine ukute walikuwa wana CCM nao wakajichanganya si unajua rangi zinafanana.
 
Bora wapumzike,kuliko mnaokosa na huo usingizi Kwa stress na kukosoa vitu vya kitoto kitoto
Ameandika Yericko Nyerere.

"Ukiambiwa kuwa hili ni kombe la Ligi Kuu Tanzania unaweza kuonekana kama chizi hivi hasa ukikaa na watu wa mpira duniani huko... Hili kombe atakuelewa Haji S. Manara tu ukimwambia hili ni kombe la ligi kuu.

Hii aibu laana zote zimwendee Karia na @tanfootball yote. Hili ni yale masufuria ya Kariakoo Gerezani yamegongwagongwa na kupigwa libeti kisha yakapelekwa kwa Kimario Tabata Dampo yakapuliziwa rangi tu? Naamini gharama za kutengeneza hili karai la gerezani haidizi elfu sabini (70,000/=).

Hivi tuko serious kweli Ligi ya thamani ya Milioni mia tano kombe lake ndio hili? Ligi ambayo inashirikisha Klabu ya Simba yenye bajeti yake kwa mwaka zaidi ya bilioni 5, Hivi kombe la ligi ndio hili? Nafikiriki masihara katika soka letu yamevuka mipaka, sheria za nchi zinatakiwa kuchukua mkondo wake. Ndugu zetu Nbc Bank HQ mnaodhamini Ligi hii, hilo ndio kombe mmeleta?

Ndugu zetu Uto kwakuwa walikuwa desperate na ubingwa basi hawajui la mwadhini wala mnadi sala, lakini wangekuwa na uelewa hata nusu tu, wangesusia kabisa, hii ni aibu kwa ligi yenye klabu bora kama ya Simba SC Tanzania ambayo iko kwenye 10 bora Afrika halafu ligi yake kombe ni hili sufuria."

Toa maoni yako

#tujuze
 
Yanga wanashangilia kushinda mechi nyingi na kukusanya points nyingi kuliko timu nyingine.......hizi concern mnazoziibua nikwasababu Yanga 💚💛 amekuwa Bingwa? Angekuwa Bingwa Simba bado mngekuja na hizo fallacies? Nchi yetu bado tunamatatizo yale matatu bado ila la UJINGA bado ni changamoto kwenye Nchi hii
 
Wewe huwajui WAZARAMO, yeye akisikia sehemu yenye ngoma au shughuli yeye itikadi hana. Hawa wana jezi zote za simba na yanga wakiwa na sherehe simba anavaa ya simba huyo huyo Yanga wakiwa mabingwa wanavaa za Yanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…