Leo nimeamini kuwa Yanga SC ina Mashabiki wengi kuliko timu yoyote Afrika Mashariki

Leo nimeamini kuwa Yanga SC ina Mashabiki wengi kuliko timu yoyote Afrika Mashariki

Hamna gazeti hapo,kwani ubora wa kombe lilopita ulikuwa una quantify kwa metrics zipi ukilinganisha na sasa.

Weight ya material (material ya aina gani), width, length, Height? Au may be kombe lilopita Calcus, Complex number na trigonometric ratio zilihusika.?
Akikujibu nipo paleee uniite mkuu
 
Kweli kabisa mashabiki wa yanga wengi ma dish yameyumba kama mashabiki wanaweza kujazana airport kumbeba mwenyekiti wao na kupokea wageni wakija kucheza nchini ulitegemea leo wafanye nini kwenye hilo muondoe kikwete na Sunday manara tu.

IMG_0495.jpg


Kama ni uchizi basi tumejifunza huku.
 
Ni sawa uishi na mkeo miaka mi 4 hujapata mtoto, siku mbahatike kupata mtoto hiyo furaha yake haisimuliki.
 
Mmekulia katika maisha ya kuiga iga.

Kila kitu mnaona inafaa kuoga.

Hata darasani huenda mlikuwa mnaigia kwa wengine.

Amekwambia nani tunahitaji taji lenye kufanana na kombe la EUFA CHAMPIONS LEAGUE?
Wewe kama muafrika kidampa kuna kipi ambacho haujaiga??

Hapa bongo na Africa ni lini ulitokea ubongo wa kuanzisha kitu na dunia ikakifata, kama waliojipambanua kama watu mashuhuri hapa africa hawajawahi kuvumbua kitu, wewe chokoraa wa hapa TZ (jf) tuseme vipi?Hilo swala la bus hamjaiga? Sisi kama waafrika kuiga ni MUST, na kama vizuri sio kosa😂.

Hutaki kuwa na kombe linalofanana na la UEFA ila unataka tuendelee kuwa na kombe kama zururu?Haya sasa hebu jaribu kulinganisha hili kombe letu na wenzetu hawa wa SA.

Acheni kuropoka, sisi ni Simba Sc hatujashinda ubingwa lakini ni lazima tuseme maana kuja kubebe kombe la hivi (ikitokea) ni fedheha.
IMG_20220626_154955.jpg
 
Ubingwa mmoja wa Yanga wa bila kupoteza mchezo wa ligi umefunika miaka minne ya ubingwa wa Simba!

mashabiki wa Simba wanaumwa, wana hasira wanatukana ovyo ukikaa nae karibu ukatetema unaweza kupokea Makonde mazito!!

Daima Mbele Nyuma Mwiko!
 
Ubingwa mmoja wa Yanga wa bila kupoteza mchezo wa ligi umefunika miaka minne ya ubingwa wa Simba!

mashabiki wa Simba wanaumwa, wana hasira wanatukana ovyo ukikaa nae karibu ukatetema unaweza kupokea Makonde mazito!!

Daima Mbele Nyuma Mwiko!
Azam na simba walishachukua ubingwa bila kufungwa ndio maana tunawashangaa
 
Ni sawa uishi na mkeo miaka mi 4 hujapata mtoto, siku mbahatike kupata mtoto hiyo furaha yake haisimuliki.
Hujawahi kukutana na aliyekaa miaka mitano bila mtoto, furaha yake ilipiliza mpaka wakakodi fuso la kumbebea mwali.
 
Hapa dar tunajua watu wanapenda sana matukio, hata vigoma vya mtaani huwa havihudhuriwi na wahusika walio alikwa, kuna makundi ya watu wanakuja kwakufuata burudani ya mademu wanaokata miuno, itakuwa ujinga kutoka nje uanze kutamba eti sherehe ilifana kwasababu unajulikana sana mtaani.

Hilo tukio lenu mliliqnza kulipigia promo mwezi mmoja uliopita. Leo jumapili watu hawana pakwenda hakuna tukio lingine la kuwafanya watu wapoteze muda zaidi ya sherehe yenu.

Waliohudhuria sio mashabiki pekee kuna wapita njia wamekuwa motivated, kuna hadi mashabiki wa simba nao wamekuja huko, wengine wamekuja kufata burudani ya mziki, wengine kuangalia kombe nk.


Si unit ya kujua nani ana mashabiki ilikuwa ni ile ya nani zaidi ambayo nyinyi mlisanda, huo mlundikano wa watu barabarani sio kipimo kumbuka pia kuna kongamano la CCM nalo linafanyika leo.
Una hasira hadi una squirt kama demu wa kihaya
 
Wewe kama muafrika kidampa kuna kipi ambacho haujaiga??

Hapa bongo na Africa ni lini ulitokea ubongo wa kuanzisha kitu na dunia ikakifata, kama waliojipambanua kama watu mashuhuri hapa africa hawajawahi kuvumbua kitu, wewe chokoraa wa hapa TZ (jf) tuseme vipi?Hilo swala la bus hamjaiga? Sisi kama waafrika kuiga ni MUST, na kama vizuri sio kosa😂.

Hutaki kuwa na kombe linalofanana na la UEFA ila unataka tuendelee kuwa na kombe kama zururu?Haya sasa hebu jaribu kulinganisha hili kombe letu na wenzetu hawa wa SA.

Acheni kuropoka, sisi ni Simba Sc hatujashinda ubingwa lakini ni lazima tuseme maana kuja kubebe kombe la hivi (ikitokea) ni fedheha.View attachment 2273393
Nmeipenda hio jezi ya wanachi wa SA
 
Back
Top Bottom