Leo nimeamini kuwa Yanga SC ina Mashabiki wengi kuliko timu yoyote Afrika Mashariki

Leo nimeamini kuwa Yanga SC ina Mashabiki wengi kuliko timu yoyote Afrika Mashariki

Wewe kama muafrika kidampa kuna kipi ambacho haujaiga??

Hapa bongo na Africa ni lini ulitokea ubongo wa kuanzisha kitu na dunia ikakifata, kama waliojipambanua kama watu mashuhuri hapa africa hawajawahi kuvumbua kitu,View attachment 2273393

Tumekataa kuiga vya huko ndio maana tumejitengenezea kombe letu linalo fanana na mashine ya kusagia mpunga.

Nakushangaa kwanini ulitaka lifanane na la UEFA..[emoji23][emoji23]
 
Hutaki kuwa na kombe linalofanana na la UEFA ila unataka tuendelee kuwa na kombe kama zururu?Haya sasa hebu jaribu kulinganisha hili kombe letu na wenzetu hawa wa SA.

/QUOTE]

Tunarudi pale pale.

Kwanini wengine ndio wawe kipimo cha kiwango cha ubora.

Sisi Yanga na Bodi ya ligi tumekataa upopoma wa kuiga.

Next time tutakuja na kombe lenye kufanana na Mapengo ya JOTI.

(Hatutaki mchezo sisi)
 
Sisi ni Simba Sc hatujashinda ubingwa lakini ni lazima tuseme maana kuja kubebe kombe la hivi (ikitokea) ni fedheha.View attachment 2273393

Njia pekee ya kuepusha fedheha ni kuhakikisha unawauza sakho, banda na manula na umrudishe moses phiri kwao.

Na pia muachane na Okrah.

Bila kusahau mumtimue Mo Dewji.

Mkisha fanya hayo hamtopata fedheha. Sisi yanga tutawasaidia kubeba fedhea kila wakati. [emoji23][emoji23]
 
Azam na simba walishachukua ubingwa bila kufungwa ndio maana tunawashangaa

Walibebq Ubingwa katika kipindi ambacho vilabu vilikuwa na njaa.

Jaribu kufanya hivyo kipindi iki ambacho Azam TV ameweka mpunga mrefu uone kama kazi rahisi.
 
IMG-20220627-WA0069.jpg
 
Hizi timu timu ni za kiislam? Hilo ndio kosa la kiufundi ambalo hunifanya nisiwe mshabiki wa hizi timu mbili.Ukiwa na mashabiki ama wanachama wenye imani tofauti ondoa itikadi au ukitumia dini shirikisha viongozi wa dini zote hata kama ni mshabiki mmoja lazima usifanye ibada ukamwengua
Aisee, kwamba hujui Dar es Salaam ni ukanda wa Pwani ni Mikoa ya Waislam?? Simba na Yanga ni timu za huko hivyo 99% ya wazee wake ni Waislam na mara zote ziko upande huo wa Dini tangu na tangu.

Kama unataka timu iwe ya Kikristo ifufue NAZARETH ya SONGEA.
 
Wewe kama muafrika kidampa kuna kipi ambacho haujaiga??

Hapa bongo na Africa ni lini ulitokea ubongo wa kuanzisha kitu na dunia ikakifata, kama waliojipambanua kama watu mashuhuri hapa africa hawajawahi kuvumbua kitu, wewe chokoraa wa hapa TZ (jf) tuseme vipi?Hilo swala la bus hamjaiga? Sisi kama waafrika kuiga ni MUST, na kama vizuri sio kosa[emoji23].

Hutaki kuwa na kombe linalofanana na la UEFA ila unataka tuendelee kuwa na kombe kama zururu?Haya sasa hebu jaribu kulinganisha hili kombe letu na wenzetu hawa wa SA.

Acheni kuropoka, sisi ni Simba Sc hatujashinda ubingwa lakini ni lazima tuseme maana kuja kubebe kombe la hivi (ikitokea) ni fedheha.View attachment 2273393

IMG_0504.jpg
 
Aisee, kwamba hujui Dar es Salaam ni ukanda wa Pwani ni Mikoa ya Waislam?? Simba na Yanga ni timu za huko hivyo 99% ya wazee wake ni Waislam na mara zote ziko upande huo wa Dini tangu na tangu.

Kama unataka timu iwe ya Kikristo ifufue NAZARETH ya SONGEA.
Huo ni muona finyu sana na kama ndicho kilichowaongoza kufanya hivyo, wamefanya makosa makubwa sana

Sejemu hata kama kuna mtu mmoja tu kati ya watu 1,000,000 kwa jamii ya kistaarabu haiwezi ika dominate na kum ignore

Chengine, hii timu ina wapenzi Tanzania nzima na sehemu nyingine ambapo wapenzi wake wapo unakuta kijiji kizima hakuna muislam hata mmoja, wameunganishwa tu na mapenzi ya timu na historia ya timu katika nchi, sasa unapawaza kuwa dini ya kutoa maombi ni ile ya majority waliokuwepo ni makosa na ukakasi mkubwa

Embu niambie akina mwamposa, mzee wa upako, Ruwaichi, mwakasege, Shoo,,nk ukute ama ni wapenzi wa timu hiyo au wana waamini washabiki wa timu hiyo halafu viongozi wanaendesha mambo bila kujua hilo kana kwamba timu nayo imeslimu unatarajia nini?
 
Hii timu ukifatilia muda wakazi ndio walikuwa wakijazana karume kufatilua kesi ya Morson, muda wa kazi ndio walikuwa wakishinda airport kupokea wapinzani wa simba hii inaonyesha waliojazana ni wazurulaji wasio na kazi.
 
Huo ni muona finyu sana na kama ndicho kilichowaongoza kufanya hivyo, wamefanya makosa makubwa sana

Sejemu hata kama kuna mtu mmoja tu kati ya watu 1,000,000 kwa jamii ya kistaarabu haiwezi ika dominate na kum ignore

Chengine, hii timu ina wapenzi Tanzania nzima na sehemu nyingine ambapo wapenzi wake wapo unakuta kijiji kizima hakuna muislam hata mmoja, wameunganishwa tu na mapenzi ya timu na historia ya timu katika nchi, sasa unapawaza kuwa dini ya kutoa maombi ni ile ya majority waliokuwepo ni makosa na ukakasi mkubwa

Embu niambie akina mwamposa, mzee wa upako, Ruwaichi, mwakasege, Shoo,,nk ukute ama ni wapenzi wa timu hiyo au wana waamini washabiki wa timu hiyo halafu viongozi wanaendesha mambo bila kujua hilo kana kwamba timu nayo imeslimu unatarajia nini?
Sasa kama utabisha sawa, ila tangu na tangu hizo timu ni za mrengo huo mkuu.
 
Back
Top Bottom