Yanga ni timu ambayo huwa inaitania Simba,
Wakati Simba imekuwa ikiikejeli na kuitukana Yanga
Mashabiki wa Yanga ni WA asili,
Huku wale wa Simba wakiwa ni wale Yanga wa mgawanyiko au wasiokuwa na ule ushabiki kutoka moyoni,
Mfano,
Leo hii mayele akihamia Simba basi Kuna mashabiki wa tahamia huko