Leo Nimeamini Kweli Wanawake Hatupendani

Kabisa yani tena wanaofanyia wenzao ndo wahuni wao akiguswa wanafanya unyama mubaya hivo
Mungu atunusuru na hili janga kama binadamu tungekuwa tunapendana yote haya yasingekuwapo hakuna cha shetan wala nin maana tumewazid maarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…