Leo Nimeamini Kweli Wanawake Hatupendani

Leo Nimeamini Kweli Wanawake Hatupendani

Mimi nishawahi kwenda na mswaki hadi class, yaani ile namaliza kuswaki nikauweka mfukoni nikajisahau nikaondoka upo mfuko wa suruali umetokeza nje.
Sasa chizi mmoja class akawa anaongea 'maisha magumu hadi mtu anakuja na mswaki darasani' kujicheki mswaki unachungulia nje ya mfuko!
Hahahahahaaaa

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Me ningekupa hi kwanza then ningekuvuta pembeni kisha ningekuomba nikusaidie kitu kwa upoleee halafu ningekufunga taratibuuu!

Then nikakuaga vizuri tu na kukuachia namba yangu kwa huduma zaidi. Hizo zilikuwa point 5 tayari!
Lazima namba ungeipata sio kwa ukarimu huo

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Nilikua natembea barabarani nikakutana na mdada akaniangalia kweli maeneo ya kwenye zipu hadi nikajishtukia alivyonipita nikasema nishike eneo la zipu lahaulaa nikakuta sikua nimefunga zipu. Yule dada alikua tayari punani yangu ionekane lakini sio kuniambia zipu iko wazi niifunge.
Nilishakutana na mkaka na zipu ikawa wazi akanisimamisha akanisalimia akaniambia dada zipu iko wazi nikafunga.
Ila huyu mwanamke mwenzangu sasa akaniacha nijue mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndivyo mlivyo...
 
Jifunze kujiangalia kwenye kioo kirefu kabla hujatoka nje maana siku waweza jikuta unagongana na Mkweo zipu ikiwa wazii
 
Nakumbuka kitambo kidogo nikiwa Tanga kuna mzee alisahau kufunga zipu kwenye tamasha, nikamwambia baba funga dirisha, akanishangaa badae akaelewa. Akanipa elfu 2z
Ilikuwa nyingi sana ile pesa na maisha ya boarding.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Nilikua natembea barabarani nikakutana na mdada akaniangalia kweli maeneo ya kwenye zipu hadi nikajishtukia alivyonipita nikasema nishike eneo la zipu lahaulaa nikakuta sikua nimefunga zipu. Yule dada alikua tayari punani yangu ionekane lakini sio kuniambia zipu iko wazi niifunge.
Nilishakutana na mkaka na zipu ikawa wazi akanisimamisha akanisalimia akaniambia dada zipu iko wazi nikafunga.
Ila huyu mwanamke mwenzangu sasa akaniacha nijue mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana alikosa confidence ya kukuelezea ila kukukazia macho ndio njia aliyoona nzuri and good thing it worked.

Wataalamu wa saikolojia wanaweza kusaidia, kuna aina ya watu akiona jambo la aibu yeye linamuathiri na kuona aibu zaidi kuliko hata mhusika mwenyewe.
 
Nilikua natembea barabarani nikakutana na mdada akaniangalia kweli maeneo ya kwenye zipu hadi nikajishtukia alivyonipita nikasema nishike eneo la zipu lahaulaa nikakuta sikua nimefunga zipu. Yule dada alikua tayari punani yangu ionekane lakini sio kuniambia zipu iko wazi niifunge.
Nilishakutana na mkaka na zipu ikawa wazi akanisimamisha akanisalimia akaniambia dada zipu iko wazi nikafunga.
Ila huyu mwanamke mwenzangu sasa akaniacha nijue mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika hii thread hadi sasa nimeona like 25, naomba kufahamu kwa walio-like, wamelike kwa kuwa wanawake hawapendani, au kwa kuwa mzigua90 kasahau kufunga zipu au kwa kua huyo dada hakumshtua kuwa zipu iko wazi?
 
Back
Top Bottom