Lazaroj
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,451
- 1,050
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heri yenuHata kwenye daladala,ni nadra mwanamke mwenye mtoto akapishwa na mwanamke mwenzake,hampendani sana bora sisi mamen tunasaidiana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaahaa. Akajua na mimi niko kazini eehLabda sababu nyinyi mnajuana sana kuliko tuwajuavyo sisi..
Usikite huyo dada uliyekutana nae ni muuza costant K, akajua nawe upo kwenye biashara matangazo.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Eeeh ndugu yangu! Mjini hapa wengine akili ziko makalioni.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ooh Sawa dada.
Abiria chunga mzgo wakoNilikua natembea barabarani nikakutana na mdada akaniangalia kweli maeneo ya kwenye zipu hadi nikajishtukia alivyonipita nikasema nishike eneo la zipu lahaulaa nikakuta sikua nimefunga zipu. Yule dada alikua tayari punani yangu ionekane lakini sio kuniambia zipu iko wazi niifunge.
Nilishakutana na mkaka na zipu ikawa wazi akanisimamisha akanisalimia akaniambia dada zipu iko wazi nikafunga.
Ila huyu mwanamke mwenzangu sasa akaniacha nijue mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ka kukukumbusha.