Leo Nimeamini Kweli Wanawake Hatupendani

Leo Nimeamini Kweli Wanawake Hatupendani

Ilinibidi nigoogle
Capture+_2018-09-04-19-14-06-1.png
 
ushukuru kakuangalia shemela asingekuangalia je?? me usinipe jibu bhana
 
Nilikua natembea barabarani nikakutana na mdada akaniangalia kweli maeneo ya kwenye zipu hadi nikajishtukia alivyonipita nikasema nishike eneo la zipu lahaulaa nikakuta sikua nimefunga zipu. Yule dada alikua tayari punani yangu ionekane lakini sio kuniambia zipu iko wazi niifunge.
Nilishakutana na mkaka na zipu ikawa wazi akanisimamisha akanisalimia akaniambia dada zipu iko wazi nikafunga.
Ila huyu mwanamke mwenzangu sasa akaniacha nijue mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii thread bila kapicha ni kutuonea aise Mzigua90 [emoji23]
 
Unajua kutokana na hizi staili zenu za kuacha miili wazi inawekana akahisi ndio swaga za town na yeye akaogopa kukushtua asionekane mshamba. Mi kuna siku nimeona mdada suruali yake imetatuka maeneo ya mstari wa ikweta nikakausha tu nikawaza labda fasheni tu
Jamani ukaacha mwenzio atembee uchi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake mnapenda ila kinafiki sana.
Hii ilimkuta mrembo mmoja ila yeye kwenye nyonyo yeye bila kujua kama titi linaonekana. Nilipomuona nikavutiwa nikasema naye nikachukua namba.
Baadae nikamtongoza tukawa wapenzi.
Siku moja nilipomkumbusha aliniambia kama haya haya ya leo.

Alikutana na wanawake wengi ila hawakumjulisha.
Aliwaza siku ile kama niliiona nikamwambia kati ya vitu vilinivutia ni ile.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukajilia vyako baada ya kuona nyonyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ethiiii kwanini hufungi dhipuu!

Labda alikuwa anakuonea aibu kukwambia. Hivyo akakwambia kwa macho.[emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Pole mamy, pengine hakufanya kusudi alighafirika
 
Back
Top Bottom