Nimefika kupiga kura kituoni mida ya saa 5 asubuhi. Watu hawakuwa wengi na walikuwa wanakuja taratibu, wengine wapo shambani wanasubiri wapigiwe simu zamu yao ikikaribia.
Kilichoniudhi ni kukuta hakuna mpinzani hata mmoja anagombea, wote ni CCM tupu! Halafu nikakuta ule mtindo wa enzi za Mwalimu Nyerere wa NDIYO/HAPANA kwa mgombea asiye na mpinzani!
Nilichofanya ni kutembeza kura ya HAPANA kwa wagombea wote wa CCM kwenye karatasi bila hata kuangalia majina yao. Msimamizi wa uchaguzi akasema wapiga kura wote mkienda haraka haraka kama huyu tutamaliza mapema zoezi hili.
Moshi hakuna wapinzani, kweli!!!?
Kilichoniudhi ni kukuta hakuna mpinzani hata mmoja anagombea, wote ni CCM tupu! Halafu nikakuta ule mtindo wa enzi za Mwalimu Nyerere wa NDIYO/HAPANA kwa mgombea asiye na mpinzani!
Nilichofanya ni kutembeza kura ya HAPANA kwa wagombea wote wa CCM kwenye karatasi bila hata kuangalia majina yao. Msimamizi wa uchaguzi akasema wapiga kura wote mkienda haraka haraka kama huyu tutamaliza mapema zoezi hili.
Moshi hakuna wapinzani, kweli!!!?