50thebe
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 4,088
- 4,059
Upigaji?TRA inafanya kazi mwa sifa taasisi za serikali ni kama wanashindana kwenye kuminya watu ili waonekane wameingiza mapato makubwa.
TRA
TRAFFIC
TANESCO
DAWASCO
Hizi team zinashindana nani kinara wakuingiza pesa nyingi serikalini kwa njia yyte iwezekanayo.
TRA hata wakuandikie barua kukubali ufanye jambo Hata siku 1 usije itupa barua waliyokuandikia, utakuja kurukwa kweupe na hutoamini hata uweke mwanasheria gani.
TRA yale macomputer yao ni geresha tu hawahifadhi data za watu wao wanajua tu hifadhi ma faini,ma ongezeko ya kodi unayodaiwa,nk
Ila uende punguza deni, hawana muda wa kuhifadhi hiyo kumbukumbu.. so hakikisha unapojihusisha na TRA una ofisi yako binafsi kwako na secretary wako home wakukutunzia DATA zako or else anyday utalia.
FUNGA BIASHARA hiyo tumia TIN ya mtu fungua biashara hyo hyo kwa TIN ingine tena eneo hilo hilo.
Hawana wanachoweza kukufanya ila Usilipe kodi kama umefunga hyo biashara or else useme unataka kutoka nnje ya hii nchi.
TANESCO TRA Tanzania @DAWASCO