Hii ni mimi kabisaa.Watoto naondoka nao. Mama mzinzi hawezi lea watoto wangu..... Hata kama wana miezi nitabeba nasepa nao. Akashitaki atakapopenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Gari na Mke ni vitu viwili tofauti sana. Ukioa Mwanamke "used" maana yake ni kwamba wewe hauna "agano" lolote na Mwanamke huyo kwani tayari alikwisha fanya agano la "damu" na Mwanaume mwingine. Hapo hakuna tofauti na kuwa umeoa Mke wa "mwenzako".Kwa aina hii ya swali inaonekana wewe bado ni mvulana na hujui thamani ya kupenda, labda nikuulize swali. Hivi ukinunua gari iliyotumika hutaweza kuihudumia na kuithamini eti kwa kuwa uliikuta imetumika!? Unapokutana na mwanamke au msichana kwa mara ya kwanza na ukampenda huwa unaona bikra!?
Huyu mwanamke ama mkeo umekutana nae baada ya kuishi hapa duniani miaka kadhaa, iweje uchukue hatua itakayofanya ukae Jela maisha yako yaliobaki wakati Unaweza ukaachana nae halafu ukainjoy maisha kama kawa.Chief! Ahsante kwa muda wako na mawazo yako, Lakini naomba utambue kuwa mambo ya mapenzi ni mazito kwa maana kila mmoja ana kipaumbele chake, kuna wanaume wengine wanapenda watoto, sasa kumfumania mkeo halafu aondoke na watoto ni ngumu, kuna wengine akifumania anasamehe (wana moyo wa ajabu hawa). Lakini pia kuna wengine akifumania anashindwa kutoa talaka maana kwa dhati ya moyo wake bado anampenda mkewe (jamii husema wamelishwa limbwata japo wakati mwingie huwa siyo kweli). Walio wengi wanapofumania hupenda kujichukulia sheria mkononi.
Binafsi haya yote nimeyasikia na mengine kuona sasa juzi kati wakati nasikiliza hukumu ya kisheria kupitia redioni ndo nikagundua kwa nini watu hufanya ukatili wanapofumania, ni kwa kuwa aina ya adhabu kwa kosa hilo haikujali hisia za waathirika wa hayo mapenzi (mkuu kuna mtu anaweza kukupenda 100% , sasa fikiria mtu huyo akufumanie hiyo faini itatuliza hisia zake kweli?)
Naomba uniambie kama hiyo adhabu ya faini inafaa/kutosha!!
Kabisaaaah nakazia hapa.Ndoa sio ya kuingia kichwa kichwa, kuoa kila Siku tunaambizana humu
Haya mambo ya kufumaniwa na kufumania ni vitu inatakiwa uvipime haswa kama utaviweza au hutoviweza ukipata jibu muafaka. Ndio ufanye maamuzi ya kuoa.
Wakati jamaa kamkata masikio mwenzake kwa kufumania ukute na mji kashaukimbia maana ni jinai ndio itamfuata, haya umefumania umemkata masikio mgoni, unakimbia mji na kumuacha mkeo akitanua na umalaya wake.
Ukiona mkeo hajatulia njia sahihi kabisa ni kumuacha aendelee na umalaya wake, tafuta aliyetulia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nikimkuta mwanaume chumbani kwangu ndio ndamkung'uta vibaya sana ila kama mwanamke wangu atanyanyua miguu yake toka kwangu kwenda kufanywa huko atakuwa kajipendea, nikimgusa mgoni wangu ntakuwa nimemuonea sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila nu kweli lol[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ukifanya hivyo utamuumiza sana mgoni ki mawazo lazima ajiulize unamipango gani na yeye.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kupokea pesa kutoka kwa jamaa aliekugongea mkeo Ni fedheha kubwa Sana hapa duniani.
Kuna mtu mtaani alilipwa pesa Kama faini ya kugongewa mkewe akanunua pikipiki. Hata mke ana kudharau zaidi kwamba wew kwenye pesa si lolote ipo siku utatoa rinda kisa pesa.
Kama unapoke pesa ya mgoni wako Kama faini Basi mruhusu tu mkeo aende uwanja wa fisi awe anakuletea hesabu asubuhi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi napokea na baadae namtumia text namwambia mke wangu uwe unachukua wenye hela kama hawa ndio tunafaidika wote....
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni Kwanini tunaamini kwamba utakayemfumania atakuwa dhaifu uweze kumpiga au kumjeruhi?unaweza kufumania na ukala kipigo chap chap.
Nilishuhudia jirani yangu hapa Tabata alitoka ofisini kwake mchana kwenda nyumbani akagundua mkewe yuko na kidume ndani,jamaa alokuwa ndani akafungua mlango akampiga mwenye mke ngumi za maana akazimia.Mgoni akasepa bila rapsha na point zote
Mens are polygamist by nature , lifahamu hilo , mwanaume akikwambia ana mwanamke mmoja ni mnafikiNa
Kama mumeo ni malaya je??
Ndiyo utetezi wako huo?malaya ni malaya tu awe me au keMens are polygamist by nature , lifahamu hilo , mwanaume akikwambia ana mwanamke mmoja ni mnafiki
Kama unavyoona dume la moja la beberu linavyoweza kutamba na zizi la majike , au jogoo mmoja anayoweza ku deal na watetea mtaani ndio typiclal definition ya mwanaume .
Tofauti tu ni kuwa wanaume wana control ya umalaya .
Mkuu uzi uliuelewa vizuri kweli? Malaya ni malaya lakini swala hilo linabeba uzito tofauti kati ya mwanamke na mwanaume .Ndiyo utetezi wako huo?malaya ni malaya tu awe me au ke
Hii mentality ni ya kupuuzwa tyuuh. Imeshapitwa na wakati.Mens are polygamist by nature , lifahamu hilo , mwanaume akikwambia ana mwanamke mmoja ni mnafiki
Kama unavyoona dume la moja la beberu linavyoweza kutamba na zizi la majike , au jogoo mmoja anayoweza ku deal na watetea mtaani ndio typiclal definition ya mwanaume .
Tofauti tu ni kuwa wanaume wana control ya umalaya .
Du! Kumbe tayari hedhi imekoma, lakini 54 Yrs bado unafaa kwa matumizi. Unaonekana ni muungwana tena mstaarabu na unafurahia maisha (raha jipe mwenyewe😀😀). nakuombea kwa MUNGU azidi kukubariki maana ulishabarikiwa tangu kiunoni kwa Baba yako, pia nakutakia maisha marefu yenye heri na fanaka.
Ahsante kwa maelezo yako mazuri ila bado hujajibu swali, Je, hii sheria ya faini kwa waliofumaniwa na wake/waume za watu inatosha?Huyu mwanamke ama mkeo umekutana nae baada ya kuishi hapa duniani miaka kadhaa, iweje uchukue hatua itakayofanya ukae Jela maisha yako yaliobaki wakati Unaweza ukaachana nae halafu ukainjoy maisha kama kawa.
Tatizo linakua watoto, wazazi wakiachana asilimia kubwa huathiri maisha ya watoto, wengine huamua kuachana ndani kwa ndani lakini watoto wasijue mpaka wakifikia umri ambao halitakua na uwezo wa kuwaathiri kwa kiasi kikubwa.
Imeandikwa hasira hukaa moyoni Mwa mpumbavu.
Haiwezekani eti mimi nipambane kujiweka fresh na kufurahia nchi niliyopewa na Mola halafu nikuuwe wewe kwasababu eti umefanya mapenzi na mke wangu, akili imeisha fanikiwa kutawala mwili siku nyingi, ntamdhuru mtu kwa lengo la kujilinda tu na sio kwa sababu nyingine yoyote isiyolipa.
Ulitumia busara ya hali ya juu, ukipata nafasi mshukuru MUNGU kwa kukupa busara hiyo maana uliepusha pia kujiepusha na mengi. Sasa turudi kwenye hoja ya msingi. Je, Hii adhabu ya faini kwa wazinzi inatosha?Umenena uhalisia..Ofcz haya mambo mpaka yakukute ndio ukwel wa nini cha kufanya huwa waz.
Zaman nilikua nasema nikimfuma yf (enz hizo bado Gfrnd tu) nitamtandik sanaa.
One day nikasafir kumfuata mkoan.Tulikua college those days na tushazaa mtoto mmoja (ujana).
Katika harakat nikachukua cm yake enz hiz hiz 2012 smart phone hazikua popular sana.Nikakuta messages sizielewi elewi kabisaa...Aisee Mungu alinijaalia utulivu wa hali ya juu sana kwenye ile moment.Nikawa very +ve sana ingawa tayar taa nyekundu danger ilikua dhahir mbele yangu.
Nikawaza anyway.hii ni inbox tu mtu yeyote anaweza kukutumia message hata kama hutaki so vp kuhusu yy ali respond vp.Nikazama Sent sms.Nikaona responce yake ilikua accordingly...nikapiga tiki hapa tayar.
Muda huo woote yeye yuko busy anaandaa msosi.Nikachukua cm yangu nikaichek kwa m-pesa nika confirm jina nikatulia tuliii sana mpaka huwa najishangaa mpaka leo.
Akamaliza kuandaa chakula akaandaa sasa nilichokosea nikajilaum sana ni kwamba wakat tunaanza tu kula stori za hapa na pale nikamuuliza "FLANI" ni nani..tena kwa upole kabisaaaa (sivyo nilivyo..mimi ni mkali).
Basi bwana siku ikaharibika kabisaa.. niishie hapo ila 10 sasa we r still on with kids.
EFFECT yake sasa, kuna mrembo mmoja alikua ananipenda sana nikiwa chuo af mi nikawa nampotezea tu kwa kujua nina yf to be.Nikaja gundua ile situation ilini jeruhi internally na ofcz nikatoa chance kwa yule Manka.Na kwakua sikua nimezoea multiple relation nikajikuta tumesonga na manka toka chuo mpaka miaka 6 mbele..Tukabaki frnds baada ya yy kuolewa ikumbukwe grfrnd wangu sikumuacha na nikamuoa .
NB
Manka mpaka leo though as frnds...
Hii ni kweli... Mwanamke ndo mweny makosa hapoMimi hata nikimkuta mwanaume anamla mke wangu kwenye kitanda changu, bado nitamuacha atoke salama, mtu hawezi kuja kwako bila ramani.
Sipo mbali na maneno yangu ya mwanzo kuwa wewe bado ni mvulana au bado una mawazo ya kivulana. Agano ni makubaliano juu ya jambo fulani, hivyo agano huwa linatanguliwa na kauli (maana hata dunia na vyote vilivyomo viliumbwa kwa neno) pia unapoweka agano hutakiwi kukawia kuliondoa, hivyo basi kutoa bikra itakuwa agano ikiwa kuna maneno yenye kunuiza hicho kitendo yalitamkwa, kinyume na hapo hakuna agano. Pia uthamani wa kitu chochote unatokana na jamii husika lakini haupo katika kitu kile. hivyo basi kusema ukioa mwanamke asiye na bikra ni sawa umeoa mke wa mtu ni kitu ambacho hakina ukweli (anakuwaje mke wa mtu ili hali hakuna ndoa)Gari na Mke ni vitu viwili tofauti sana. Ukioa Mwanamke "used" maana yake ni kwamba wewe hauna "agano" lolote na Mwanamke huyo kwani tayari alikwisha fanya agano la "damu" na Mwanaume mwingine. Hapo hakuna tofauti na kuwa umeoa Mke wa "mwenzako".
Bikra ina maana kubwa sana ndugu yangu, MUNGU hakukosea kumuumba Mwanamke na kumuwekea "Bikra". Watoto wa MUNGU huyaelewa mambo ya MUNGU, wasiokuwa watoto wa MUNGU kamwe hawawezi kuelewa mambo ya MUNGU.