Leo nimegundua kwanini watu wakifumaniana wanafanya ukatili

Leo nimegundua kwanini watu wakifumaniana wanafanya ukatili

Ila mke anauma jamani ukute jamaa limejipinda linamfokoa [emoji31][emoji31][emoji31]Lazima tu jambo hili lita kuasiri kisaikolojia.Wake zetu wajaribu kujistiri km hatosheki na ww bora awe muwazi tu kuliko akuumize moyo kwa kufanya ujinga huu bila woga.
Unaweza kubanwa na tumbo la kuchafukwa kama umekula chakula cha majalalani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupokea pesa kutoka kwa jamaa aliekugongea mkeo Ni fedheha kubwa Sana hapa duniani.
Kuna mtu mtaani alilipwa pesa Kama faini ya kugongewa mkewe akanunua pikipiki. Hata mke ana kudharau zaidi kwamba wew kwenye pesa si lolote ipo siku utatoa rinda kisa pesa.


Kama unapoke pesa ya mgoni wako Kama faini Basi mruhusu tu mkeo aende uwanja wa fisi awe anakuletea hesabu asubuhi.
Mimi napokea na baadae namtumia text namwambia mke wangu uwe unachukua wenye hela kama hawa ndio tunafaidika wote....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm nilipasulia na dem mmoja ila kwa sasa nimeoa kitu kilikua bikiraa baba.Ndo maana kuna jamaa humu kila mara anasema tuoe wanawake bikira na kweli unakua huna presha za kifara za ma ex wake.
Sasa mkuu pressure unatoa wapi kwenye mambo petty namna hiyo..
Hiyo life tu ni stress tosha uje uhangaike kufikiria ma x wa mke wako na wanaomendea kwa sasa... ... .
Embu fikiria
1. Kazi
2.Biashara
3.Kutenganishwa kwa kifo cha ghafla
4.Mambo ya jamii
5.Uchumi wa familia
6.Magonjwa
Bado uwaze na kuwazua kuhusu mapenz nk... just do it for funny mzee.. core business zinayumba kwa kufikiria mke ni wa muhim kumbe yeye anakuchukulia huna umuhim wowote zaid ya kumpa mahitaji tu
 
Watoto naondoka nao. Mama mzinzi hawezi lea watoto wangu..... Hata kama wana miezi nitabeba nasepa nao. Akashitaki atakapopenda

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Chief, mtoto kuanzia umri wa siku moja (01) mpaka miaka saba (07) anatakiwa akae na mama yake isipokuwa tu kama itathibitika kisheria kuwa hana uwezo wa kuwalea ipasavyo, je na yeye akiamua kwenda mahakamani kudai watoto utafanyaje? Halafu pia huko unapowapeleka wanao una uhakika gani kama mke wako mpya atawalea na kuwapenda kama mama yao mzazi. Binafsi naona kama watoto utakuwa umewaonea!! maana mama hata awe mzinzi vipi hawezi kuwachukia wanae wa kuwazaa.
 
Mm nilipasulia na dem mmoja ila kwa sasa nimeoa kitu kilikua bikiraa baba.Ndo maana kuna jamaa humu kila mara anasema tuoe wanawake bikira na kweli unakua huna presha za kifara za ma ex wake.
Chief!! Usidanganyike na bikra maana hata hao wanaochepuka zamani walikuwa bikra, Bikra siyo guarantee ya kutochepuka!!
 
Ahsa
Kwani huyo mwanamke ni binadam au ni kitu kisichoongea? VIP kama kamwambia jamaa hajaolewa ana mshkaji tu?
Pili kuna umuhim gani kuumiza mtu ambae mke wako akitaka anachukua mtu mwingine?
Kama mke wako ni malaya unadhan utauwa watu wangapi?
Ikitokea umefungwa jela mke wako atabak kuwa wako?
Maamuzi ya busara ni muhim sana kiongozi.. maisha ni kuchagua na kuchanga karata zako vizur..

Kwani huyo mwanamke ni binadam au ni kitu kisichoongea? VIP kama kamwambia jamaa hajaolewa ana mshkaji tu?
Pili kuna umuhim gani kuumiza mtu ambae mke wako akitaka anachukua mtu mwingine?
Kama mke wako ni malaya unadhan utauwa watu wangapi?
Ikitokea umefungwa jela mke wako atabak kuwa wako?
Maamuzi ya busara ni muhim sana kiongozi.. maisha ni kuchagua na kuchanga karata zako vizur...
Kwa hiyo Chief ikikutokea (hatuombei) utaamua kupotezea!!?
 
Amani mtaipata siku mkitambua kuwa wewe na mke wako Si mwili mmoja,kila mtu ana maamuzi yake na kila mtu hufanya maamuzi akiwa na akili timamu,acha kuumia juu ya mwanamke,nakili ni kweli mke anauma lakini isifikie kiasi cha kutoa uhai Wa mwanamme mwenzako kisa mke .

Waacheni wake zenu watumie miili watakavyo,ukitaka kuepuka haya acha kuoa kabisa au umba mwanamke Wa udongo ndo awe mkeo maana huyu utampelekesha utakavyo.

Binafsi naamini kuoa mwanamke used tena alitetumika kwa mabwana zaidi ya watano amini nakwambia watatu kati yao wakikutana lazima wapigane fimbo na mkeo, Mimi hili nalijua na siwezi kulipa nafasi ya kuumiza moyo wangu,

Nilisoma na wadada wawili ambao sasa hivi wote ni watumishi Wa serikali na wote wana mishahara yao,madada hao nilisoma nao mmoja kidato cha nne, mwingine kidato cha tano na sita, wadada hawa walikuwa wapenzi wangu kwa vipindi hivyo,baadae kama mjuavyo mapenzi ya shuleni ni kama mapenzi ya melini,mkishuka kila mtu na njia yake,

Nimepotezana nao kwa muda mrefu sana,cha ajabu kila mmoja alinitafuta na kuniambia ameolewa na wako na familia zao,cha ajabu wote walilalamika kunimis na kuniahidi kunipa ikiwa nitakuwa tayari,can you imagine mtu aliyeolewa anaongea hivi na X wake? Nilichoka kiasi cha kuwashauri vijana ni kheri kutokuoa ikiwa huna roho ya uvumilivu.


Nilikaa na kuwaza kuwa haya yanayofanywa na hawa wanawake hata kwangu yanafanyika,maana mke wangu kwa hesabu za haraka haraka maboyfriend wake ninaowajua ni watatu,na wote hawakuacha kwa vurugu,lakini kamwe siwezi kuumiza moyo wangu kwa maamuzi ya mtu mzima kwenye akili timamu,yenye afanye sana tu nikijua ndo mwisho Wa safari yetu,ni bora kila mtu ashike hamsini zake kuliko kutaka kudhuru my fellow man eti kisa papuchi.
 
Maskini ndo wanasumbuliwa sana kufikiria kuhusu mapenzi,matajiri mapenzi kwao sio kipaumbele sana zaidi ya kutimizia matamanio ya ngono tena wanatembea na watoto wadogo wadogo huku wake zao wapo nyumbani...kuoa ni sifa tu kwenye jamii ukiwa na hela
Hili nalo neno!! Japo na wao huwa inawauma wakikuta wametombewa mpaka kuzalishiwa na ma-houseboy
 
Amani mtaipata siku mkitambua kuwa wewe na mke wako Si mwili mmoja,kila mtu ana maamuzi yake na kila mtu hufanya maamuzi akiwa na akili timamu,acha kuumia juu ya mwanamke,nakili ni kweli mke anauma lakini isifikie kiasi cha kutoa uhai Wa mwanamme mwenzako kisa mke .

Waacheni wake zenu watumie miili watakavyo,ukitaka kuepuka haya acha kuoa kabisa au umba mwanamke Wa udongo ndo awe mkeo maana huyu utampelekesha utakavyo.

Binafsi naamini kuoa mwanamke used tena alitetumika kwa mabwana zaidi ya watano amini nakwambia watatu kati yao wakikutana lazima wapigane fimbo na mkeo, Mimi hili nalijua na siwezi kulipa nafasi ya kuumiza moyo wangu,

Nilisoma na wadada wawili ambao sasa hivi wote ni watumishi Wa serikali na wote wana mishahara yao,madada hao nilisoma nao mmoja kidato cha nne, mwingine kidato cha tano na sita, wadada hawa walikuwa wapenzi wangu kwa vipindi hivyo,baadae kama mjuavyo mapenzi ya shuleni ni kama mapenzi ya melini,mkishuka kila mtu na njia yake,

Nimepotezana nao kwa muda mrefu sana,cha ajabu kila mmoja alinitafuta na kuniambia ameolewa na wako na familia zao,cha ajabu wote walilalamika kunimis na kuniahidi kunipa ikiwa nitakuwa tayari,can you imagine mtu aliyeolewa anaongea hivi na X wake? Nilichoka kiasi cha kuwashauri vijana ni kheri kutokuoa ikiwa huna roho ya uvumilivu.


Nilikaa na kuwaza kuwa haya yanayofanywa na hawa wanawake hata kwangu yanafanyika,maana mke wangu kwa hesabu za haraka haraka maboyfriend wake ninaowajua ni watatu,na wote hawakuacha kwa vurugu,lakini kamwe siwezi kuumiza moyo wangu kwa maamuzi ya mtu mzima kwenye akili timamu,yenye afanye sana tu nikijua ndo mwisho Wa safari yetu,ni bora kila mtu ashike hamsini zake kuliko kutaka kudhuru my fellow man eti kisa papuchi.
Mkuu umeongea kwa makini sana, pia mimi kuna waliyowahi kuniambia the same thing ya kuwa tukikutana lazima wanipe mzigo, binafsi niliumia sana mana niliwaza kumbe na mimi naweza fanyiwa the same thing na mwenza. Lakini tukubali tukatae MKE ANAUMA.
 
Hili nalo neno!! Japo na wao huwa inawauma wakikuta wametombewa mpaka kuzalishiwa na ma-houseboy
Huwa sielewagi watu wanaposema kutom.b.wa mpaka kuzalishiwa mtoto, neno mpaka lina maanisha round nyingi za ngono mpaka mimba ikaingia ili hali hata round moja kitu kinaweza kuwa kimo.
 
Binafsi naona adhabu ya kulipa faini haitoshi au wakuu mnasemaje. karibuni kuchangia na povu ruksa mradi tuelimishane.
Inatosha, hakuna haja ya kuongeza. Kupeleka watu wengi jela ni kupunguza nguvukazi uraiani, na kuiongezea mzigo serikali
 
Kwani huyo mwanamke ni binadam au ni kitu kisichoongea? VIP kama kamwambia jamaa hajaolewa ana mshkaji tu?
Pili kuna umuhim gani kuumiza mtu ambae mke wako akitaka anachukua mtu mwingine?
Kama mke wako ni malaya unadhan utauwa watu wangapi?
Ikitokea umefungwa jela mke wako atabak kuwa wako?
Maamuzi ya busara ni muhim sana kiongozi.. maisha ni kuchagua na kuchanga karata zako vizur...
Mkuu umeongea mule mule akili yangu ilipolala , nimewahi kuwa na affairs na niliyezani loose ball kuwa muda wa miezi kadhaa kwa ratiba zangu , nyingi za kushtukiza na ghafla na demu alikuwa anarespond , it turned out alikuwa ni mke wa mtu na ndoa ipo active kabisa , cha ajabu kuna Siku nilikuwa nastukiza ratiba za kulala kabisa na inawezekana na hata simu hazimi
Toka hapo nikajifunza kuwa kulala na mke wa mtu ni rahisi kuliko tunavyodhani
 
Mm nilipasulia na dem mmoja ila kwa sasa nimeoa kitu kilikua bikiraa baba.Ndo maana kuna jamaa humu kila mara anasema tuoe wanawake bikira na kweli unakua huna presha za kifara za ma ex wake.
Huyo jamaa ni Jokajeusi , misimamo wake Sijawahi kuelewa as personal ila ni muhimu sana kwa watu sensitive .
Kwa maelezo yake ni kuwa kama umeoa mwanamke asiye bikra basi technically umeoa mke wa mtu , na wengi tunaangukia kwenye kundi hili la ndoa .
 
Back
Top Bottom