Leo nimegundua kwanini watu wakifumaniana wanafanya ukatili

Leo nimegundua kwanini watu wakifumaniana wanafanya ukatili

Chief, Kama mna watoto huoni kama utakuwa umewakomoa!?
Haya maneno ni ya busara sana kwa sasa (ikiwa halijakukuta), kwa maana mapenzi ni hisia (usifanye mchezo na kupenda). Lakini pia binadamu tunabadilika yawezekana wakati namuoa alikuwa ametulia ila baada yakuishi na kuzaa watoto watatu kakutana na walimwengu wamembadilisha.

Kitu kingine unapoamua kuachana na mke au mume usijifikirie wewe tu, fikiria pia na watoto watakapotengana na mama au baba yao malezi yao yatakuwaje. Usitamke kuacha mke kama vile ni kwenda chooni kutoa taka mwili (siyo rahisi kiivyo).
Watoto watalelewa tu hata na bibi au Mashangazi, ukiwaacha walelewe na huyo Mwanamke watafundishwa Umalaya na kuharibika zaidi.

Kama mama ni Malaya amefumaniwa unaaminije malezi yake kwa watoto?

Bora nusu Shari kuliko Shari kamili.
 
Habari za muda huu waheshimiwa!!

Jana nimeona video clip inayomuonyesha Mwanaume aliyekatwa masikio baada ya kufumaniwa akizini na mke wa mtu ikisambaa kupitia mitandao ya kijamii, video clip hiyo ilisindikizwa na maneno ya Wakili (nimemsahau jina) aliyekuwa akifafanua kuwa kosa la kumfumania mkeo au mumeo kisheria adhabu yake ni kulipa faini kwa aliyefumaniwa au kufungua shauri la talaka endapo mume/mke atajisikia kufanya hivyo.

Sasa nikajiuliza namna mke anavyouma (kwa jinsi mapenzi yalivyo) halafu nimemfumania na jamaa nikaamua kufuata sheria kwa kwenda mahakamani, sote tunaujukiritimba wa mahakamani ikiwemo kupigwa kalenda, kuacha kazi/shughuli ya kuniingizia kipato kwa ajili ya kuhudhuria shauri mahakamani (upotevu wa muda) kumbe hatimaye ni kulipwa faini (ikiwa atakutwa na hatia). Sasa nikajiuliza zaidi mgoni wangu akinilipa fidia si ni kama ametoa mahari!!?

Kwa maana nyingine ni kuwa mtu mwenye ukwasi anaweza kucheza na ndoa yako anavyotaka maana anajua ukimfumania fedha ya kulipa faini anayo hivyo atakuwa mke wenu na siyo mke wako hapo bado sijajua akizaa naye itakuwa vipi. Kwa hukumu ya namna hii ni bora kumuacha mke au kumtia ulemavu mgoni wako ili hata kama utakwenda jela umuache na kumbukumbu ya kusimulia wajukuu zake.

Binafsi nilidhani kuwa kosa la kufumaniwa na mke/mume wa mtu adhabu yake ni kifungo cha jela kuanzia miaka kumi na tano (15 Yrs) na kuendelea, maana ukikutwa na mwanafunzi ni miaka thelathini (30 Yrs) hivyo hii ilitakiwa kuwa nusu yake maana wahusika wanajitambua na wapo juu ya miaka 18.

Binafsi naona adhabu ya kulipa faini haitoshi au wakuu mnasemaje. karibuni kuchangia na povu ruksa mradi tuelimishane.
Kufumania ni kesi ya madai,siyo ya jinai
 
Amani mtaipata siku mkitambua kuwa wewe na mke wako Si mwili mmoja,kila mtu ana maamuzi yake na kila mtu hufanya maamuzi akiwa na akili timamu,acha kuumia juu ya mwanamke,nakili ni kweli mke anauma lakini isifikie kiasi cha kutoa uhai Wa mwanamme mwenzako kisa mke .

Waacheni wake zenu watumie miili watakavyo,ukitaka kuepuka haya acha kuoa kabisa au umba mwanamke Wa udongo ndo awe mkeo maana huyu utampelekesha utakavyo.

Binafsi naamini kuoa mwanamke used tena alitetumika kwa mabwana zaidi ya watano amini nakwambia watatu kati yao wakikutana lazima wapigane fimbo na mkeo, Mimi hili nalijua na siwezi kulipa nafasi ya kuumiza moyo wangu,

Nilisoma na wadada wawili ambao sasa hivi wote ni watumishi Wa serikali na wote wana mishahara yao,madada hao nilisoma nao mmoja kidato cha nne, mwingine kidato cha tano na sita, wadada hawa walikuwa wapenzi wangu kwa vipindi hivyo,baadae kama mjuavyo mapenzi ya shuleni ni kama mapenzi ya melini,mkishuka kila mtu na njia yake,

Nimepotezana nao kwa muda mrefu sana,cha ajabu kila mmoja alinitafuta na kuniambia ameolewa na wako na familia zao,cha ajabu wote walilalamika kunimis na kuniahidi kunipa ikiwa nitakuwa tayari,can you imagine mtu aliyeolewa anaongea hivi na X wake? Nilichoka kiasi cha kuwashauri vijana ni kheri kutokuoa ikiwa huna roho ya uvumilivu.


Nilikaa na kuwaza kuwa haya yanayofanywa na hawa wanawake hata kwangu yanafanyika,maana mke wangu kwa hesabu za haraka haraka maboyfriend wake ninaowajua ni watatu,na wote hawakuacha kwa vurugu,lakini kamwe siwezi kuumiza moyo wangu kwa maamuzi ya mtu mzima kwenye akili timamu,yenye afanye sana tu nikijua ndo mwisho Wa safari yetu,ni bora kila mtu ashike hamsini zake kuliko kutaka kudhuru my fellow man eti kisa papuchi.
Mkuu ukiacha Ulumumba huwa sometimes una Hekima Fulani hivi... Anyway +ve na -ve Ni lazima viende Pamoja.. Hii Ni Hekima Bora Sana kwa Kipindi hiki Cha ukosefu wa maadili
 
Wanaume na Sisi tubadilike tafadhali. Wewe Mkeo humkazi ( humtombi ) vizuri ( ipasavyo ) kabisa unategemea akimpata Msimamia Ukucha hatompa Maku yake ili akunwe na akunike kisawasawa? Tujitathmini kwakweli na kwa Mwanaume Gentleman akimfumania Mkewe huwa hamdhuru Mfumaniwaji ( Jamaa ) bali atashughulika zaidi na Mkewe.

Na msisahau pia ya kwamba ni psychologically proved kuwa hakuna Mahusiano yoyote yale yasiyo na Cheating na wakati mwingine Cheating hiyo hiyo huwa ni Mbolea na Chachu Kuu ya Ubunifu wenu zaidi mkiwa Vitandani. Kikubwa ni Uvumilivu, Heshima na Umakini tu pekee.

Happy Women's Day.
 
Haya maneno ni ya busara sana kwa sasa (ikiwa halijakukuta), kwa maana mapenzi ni hisia (usifanye mchezo na kupenda). Lakini pia binadamu tunabadilika yawezekana wakati namuoa alikuwa ametulia ila baada yakuishi na kuzaa watoto watatu kakutana na walimwengu wamembadilisha.

Kitu kingine unapoamua kuachana na mke au mume usijifikirie wewe tu, fikiria pia na watoto watakapotengana na mama au baba yao malezi yao yatakuwaje. Usitamke kuacha mke kama vile ni kwenda chooni kutoa taka mwili (siyo rahisi kiivyo).
Kabisa mkuu,hakuna kitu kigumu kwangu mimi kama kuacha mke
 
Kwa hiyo wewe ukimfumania mgoni wako unamtoza faini, akishailipa unaendelea kuishi na mkeo kiroho safi!!? Huoni wala kuhisi kuwa utakuwa umewahalalishia kukutana hasa kama jamaa uliyemfumania yupo vizuri kiuchumi fedha ya faini haimsumbui?
Inatosha, hakuna haja ya kuongeza. Kupeleka watu wengi jela ni kupunguza nguvukazi uraiani, na kuiongezea mzigo serikali
 
Maku haina makombo, kuita makapi ni kuwakosea adabu wanawake. Btw Ukigundua mkeo amebeba mimba nje ya ndoa utanyamaza eti kwa kuwa ulimkuta bikra!?
Mm niliishi na nilie kuta hana bikira kwa kweli nilikua sina imani san ila kwa huyu nimeshazaa nae watoto watatu hata wakija mchakachua haiumi sana km ww ukute makapi
 
Asante kwa majibu mazuri, unasemaje sasa kuhusu adhabu ya faini inatosha!!?
Watoto watalelewa tu hata na bibi au Mashangazi, ukiwaacha walelewe na huyo Mwanamke watafundishwa Umalaya na kuharibika zaidi.

Kama mama ni Malaya amefumaniwa unaaminije malezi yake kwa watoto?

Bora nusu Shari kuliko Shari kamili.
 
Kwa hiyo wewe ukimfumania mgoni wako unamtoza faini, akishailipa unaendelea kuishi na mkeo kiroho safi!!? Huoni wala kuhisi kuwa utakuwa umewahalalishia kukutana hasa kama jamaa uliyemfumania yupo vizuri kiuchumi fedha ya faini haimsumbui?
Hata kumfunga jela hakutasaidia kuondoa ukweli kwamba mkeo alimpenda jamaa, akampa. Ni kusamehe tu
 
Hata kumfunga jela hakutasaidia kuondoa ukweli kwamba mkeo alimpenda jamaa, akampa. Ni kusamehe tu
Kwa hiyo unamaanisha hata hiyo faini iondolewe, lakini pia tambua kuwa siyo kila mmojawetu ana moyo wa kusamehe!!
 
Ahsante kwa mawazo yako. Ila tambua kuwa wafungwa hawali bure, mbali na kufundishwa tabia njema wawapo kifungoni, pia huwa wanagharamikia chakula chao kwa kufanya kazi mbalimbali wawapo gerezani.
Hata faini haina maana, labda iende hazina tu ikalishe wafungwa wanaokula bure
 
Back
Top Bottom