NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
- Thread starter
-
- #41
Safari Park Hotel, Nairobi
Kenya slums ni nyingi pia kupita madukaGesti za Bongo ni nyingi hata kuliko maduka...hehehehe
haha buda mlinitoa battle but huyo hamuweziacheni nae huyo kakimbia mziki kule kwenye battle kaona mambo magumuπππ
amekumbia battle tumemkamata vilivo ππhaha buda mlinitoa battle but huyo hamuwezi
Nikimbie upuzi kama huu?πππHuyu jamaa anatafuta attention. Tulikuwa na mpambano kwenye uzi fulani. Kakimbia. Mpotezee tu. Maumivu yakiisha atarudi kwenye hali yake ya kawaida. Ameanzisha thread kwa hasira. Hahahahaha. Mpotezee
Mbona haujaweka kwikwikwi πππama umeona nairobi sio size dar ulipokua unathaniπ±π±π±π±πππππNipenda venye nimezaa na wewe hadi ukaanza kuleta vilodging na guesthouse Ati ni hoteliπππAchana naye huyu jamaa anatafuta attention. Amekimbia tulikuwa na mpambano naye. Mpotezee atachoka mwenyewe. Haya ni maumivu baada ya kumpiga za mbavu. Hahahaha. Mpotezee
labda nikuulize swali nairobi kuna 5 star hotels ngap???? na unijibu kiakiliNikimbie upuzi kama huu?πππ
Ati Hong Kong hotelππππππLeo mnavu zanguamekumbia battle tumemkamata vilivo ππ
nawewe pia umekimbia battle??ππππMbona haujaweka kwikwikwi πππama umeona nairobi sio size dar ulipokua unathaniπ±π±π±π±πππππNipenda venye nimezaa na wewe hadi ukaanza kuleta vilodging na guesthouse Ati ni hoteliπππ
jibu swali??? nairobi kuna 5* hotels ngap?? maelezo peleka polisiAti Hong Kong hotelππππππLeo mnavu zangu
hehehe ππππ wanaishi kibera slum mlo mmoja kwa sikuππMnapost hotels ambazo mnaishia kuzitazama mitandaoni tu,au hata mkiziona mnaishia kupiga selfie tu...
Tafuteni pesa mjenge zenu...
Mbona tz kama umewahi tumia JNIA miaka 4 iliyopita hizo 5 star hotel zao zilikuwa zina serve chips mayai. cha kushangaza zaidi kipindi kimoja niliingia 5 star lakini hamkuwa na maji chooni bana nikaletewa na ka bucket.
mombasa ijaribu zanzibar uone kama humkukojoa wima hapa siunanijua au ushasahauπππmombasa has the same number of reviews and only 20 lesser hotels than Dar..but beats dar in vacation rentals.View attachment 783074
Ahsante Collo Mzii. It is a pity Nairobi can beat a coastal city in number of quality hotels.
Lazizi priemerelabda nikuulize swali nairobi kuna 5 star hotels ngap???? na unijibu kiakili
jaribu kuleta mombasa nikupe zanzibar sasa hvi uone kama haukukojoa wima leo hapaπππAhsante Collo Mzii. It is a pity Nairobi can beat a coastal city in number of quality hotels.
Achana naye. Ni maumivu tu yakiisha atatulia. Hana lolote. Ni psychological issue. Sisi wataalam wa psychology tuna shauri mtu Kama huyo ni kumuacha muda alale akiamka akili zake zitakuwa sawa. Hana lolote na hana la maana zaidi ya kutafuta msaada aweze kujifariji. Ni kama mwanamke akipigwa chini ataanzisha visa tu ili aonekana hajaumia. Hahahahalabda nikuulize swali nairobi kuna 5 star hotels ngap???? na unijibu kiakili