Leo nimekula mihogo mitamu na laini kama keki maeneo ya Mbuyuni

Leo nimekula mihogo mitamu na laini kama keki maeneo ya Mbuyuni

mlo wako ungekamilika kama ungeambatanisha na hii nyama tumboni mwako.
images (2).jpeg
 
Wadau hamjamboni nyote

Huu ni ushuhuda wa kweli kabisa uliothibitisha kuwa nilichokuwa nakifikiria kuhusu mihogo siyo kweli!

Leo Jumatano majira ya mchana hapa maeneo ya Mbuyuni nimekula mihogo ya kukaanga ambayo ni mitamu na laini sana utadhani ni keki

Nimpongeze sana huyu mama mpishi aliyebadilisha mawazo yangu kabisa

Kumbe mihogo yaweza kuwa mitamu kuliko hata nyama ya kitimo
 
Wadau hamjamboni nyote

Huu ni ushuhuda wa kweli kabisa uliothibitisha kuwa nilichokuwa nakifikiria kuhusu mihogo siyo kweli!

Leo Jumatano majira ya mchana hapa maeneo ya Mbuyuni nimekula mihogo ya kukaanga ambayo ni mitamu na laini sana utadhani ni keki

Nimpongeze sana huyu mama mpishi aliyebadilisha mawazo yangu kabisa

Kumbe mihogo yaweza kuwa mitamu kuliko hata nyama ya kitimoto

Tuache dharau mihogo

View attachment 2967643
VIjana wa mjini wanaposti misosi hawakawii kuja na nyuzi wanauliza tundu inakaa wapi na mwanaume anamwaga kwa dakika ngapi!
 
Dar es salaam universities_Mihogo.
Udom_Ngano products.
Mbeya & Mwanza_Hawa Wana maisha mazuri angalau.
Haha Mbeya vyakula bei rahisi sana mtu kula mihogo atake mwenyewe tu, kwanza binafsi hakuna mihogo mibaya niliyowahi kula kama ya Mbeya, napenda sana mihogo ila ya kule ilinishinda haki ya nani
 
Haha Mbeya vyakula bei rahisi sana mtu kula mihogo atake mwenyewe tu, kwanza binafsi hakuna mihogo mibaya niliyowahi kula kama ya Mbeya, napenda sana mihogo ila ya kule ilinishinda haki ya nani
Hahahaha, ni vile chakula kipo tele
 
Back
Top Bottom