cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Sema kweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kula kula mihongo inashusha IQ yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema kweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kula kula mihongo inashusha IQ yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umepatia kabisa, maji ya Uhai.Mihogo ndio chakula chetu pendwa sisi wanachuo[emoji23]
Hapana MkuuMkuu ulikua na njaa
Wadau hamjamboni nyote
Huu ni ushuhuda wa kweli kabisa uliothibitisha kuwa nilichokuwa nakifikiria kuhusu mihogo siyo kweli!
Leo Jumatano majira ya mchana hapa maeneo ya Mbuyuni nimekula mihogo ya kukaanga ambayo ni mitamu na laini sana utadhani ni keki
Nimpongeze sana huyu mama mpishi aliyebadilisha mawazo yangu kabisa
Kumbe mihogo yaweza kuwa mitamu kuliko hata nyama ya kitimo
VIjana wa mjini wanaposti misosi hawakawii kuja na nyuzi wanauliza tundu inakaa wapi na mwanaume anamwaga kwa dakika ngapi!Wadau hamjamboni nyote
Huu ni ushuhuda wa kweli kabisa uliothibitisha kuwa nilichokuwa nakifikiria kuhusu mihogo siyo kweli!
Leo Jumatano majira ya mchana hapa maeneo ya Mbuyuni nimekula mihogo ya kukaanga ambayo ni mitamu na laini sana utadhani ni keki
Nimpongeze sana huyu mama mpishi aliyebadilisha mawazo yangu kabisa
Kumbe mihogo yaweza kuwa mitamu kuliko hata nyama ya kitimoto
Tuache dharau mihogo
View attachment 2967643
Dar es salaam universities_Mihogo.Mihogo ndio chakula chetu pendwa sisi wanachuo😂
Haha Mbeya vyakula bei rahisi sana mtu kula mihogo atake mwenyewe tu, kwanza binafsi hakuna mihogo mibaya niliyowahi kula kama ya Mbeya, napenda sana mihogo ila ya kule ilinishinda haki ya naniDar es salaam universities_Mihogo.
Udom_Ngano products.
Mbeya & Mwanza_Hawa Wana maisha mazuri angalau.
Mimi mihogo point mwenge kila wiki ana uhakika wa hela yangu, mihogo na T bone au na soseji choma 😋Kuna sehemu nilikula mihogo lainiii
Kachumbari ya kutosha
Afu wanatia na soseji za ujazo
Alooo 😁😁
Hahahaha, ni vile chakula kipo teleHaha Mbeya vyakula bei rahisi sana mtu kula mihogo atake mwenyewe tu, kwanza binafsi hakuna mihogo mibaya niliyowahi kula kama ya Mbeya, napenda sana mihogo ila ya kule ilinishinda haki ya nani
Mihogo inashibisha lo.
Mihogo inashibisha lo.