Leo nimekumbuka kesi ya Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, ilipelekea mahabusu kugoma kwenda mahakamani siku tano Dar wakidai dhamana yake ifutwe

Leo nimekumbuka kesi ya Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, ilipelekea mahabusu kugoma kwenda mahakamani siku tano Dar wakidai dhamana yake ifutwe

Achaa utoto,matusi hayaamuliwi kwa kupigwa Chuma kumbuka tunaishi really life na siyo Maisha ya Movie, isije kua zile movie za kimarekani za kupigana risasi hovyo hovyo zimekuharibu,wwe unaamini Chuma ndiyo kila kitu!!
Labda isije tukawa tunabishana watu ambao tunapiga mishe tofauti kati yetu mimi na wewe, nadhani umesoma alichokiandika Hamisi Kigwangala jana kuhusu uaminifu wa watanzania sasa sector ambayo Kigwangala amepigwa sana matukio kiasi kwamba bila mshahara na posho za bungeni angekuwa amefilisika.

Ndizo mimi nazifanya kwahiyo hii sector bila ukatili na roho mbaya haufiki popote, fikiria anakuja mtu yeye mwenyewe bila kuitwa anakuja kukuomba umkopeshe pembejeo au hela kwa ajili ya kilimo unampa kwa wema muda unafika unamkumbusha analeta lugha za kejeli na dharau unadhani watu kama hawa tunamalizana nao vipi mpaka linakuwa fundisho kwa wengine?
 
Hii nchi bhana! Eti hako kabinti kake tayari ni kabunge ka viti maalum kakila posho na mshahara mnono. Mimi Tate Mkuu bado napambama tu na hali yangu huku Usambaani.

Yaani hiyo 2006 wakati kakiwa kabinti kadogo tu, mimi tayari nilikuwa mtu mzima kabisa. ccm Mungu anawaona kudadek zenu. Yaani keki ya Taifa mnatafuna nyinyi wenyewe tu na familia zenu.
 
labda isije tukawa tunabishana watu ambao tunapiga mishe tofauti kati yetu mimi nawewe,nadhani umesoma alichokiandika hamisi kigwangala jana kuhusu uaminifu wa watanzania sasa sector ambayo kigwangala amepigwa sana matukio kiasi kwamba bila mshahara na posho za bungeni angekuwa amefilisika ndizo mimi nazifanya kwahiyo hii sector bila ukatili na roho mbaya haufiki popote,,fikiria anakuja mtu yeye mwenyewe bila kuitwa anakuja kukuomba umkopeshe pembejeo au hela kwa ajili ya kilimo unampa kwa wema muda unafika unamkumbusha analeta lugha za kejeli na dharau unadhani watu kama hawa tunamalizana nao vipi mpaka linakuwa fundisho kwa wengine?
Sikufichi siku jui hunijui,lakini Kama utanikuta kwenye kitengo Cha ugawaji silahaa,wala sipitishi maombi yako, maana bado hujajua Nini maana ya matumizi ya silahaa za Moto!! Nakupa Siri ya matumizi halali ya kumpiga mtu risasi,ni ikiwa tu na uliye mshoot ana silahaa Kama yako au kukuzidi wwe,hiyo ndiyo tunaiita self defense, hata Mahakama haipingi!!
 
Sikufichi siku jui hunijui,lakini Kama utanikuta kwenye kitengo Cha ugawaji silahaa,wala sipitishi maombi yako, maana bado hujajua Nini maana ya matumizi ya silahaa za Moto!! Nakupa Siri ya matumizi halali ya kumpiga mtu risasi,ni ikiwa tu na uliye mshoot ana silahaa Kama yako au kukuzidi wwe,hiyo ndiyo tunaiita self defense, hata Mahakama haipingi!!
Sasa mtu akitukanwa tu anatumia silaha
Akichukuliwa dem,mke anatumia silaha [emoji1]

Ova
 
Hata Kama dereva alijibu majibu ya kunya,Ditopile bado alaikua na uwezo wa kumwambia DTO au RTO wamuweke ndani dereva hadi akili yake itakapo kaa sawa kuliko kumpiga dereva Chuma mbele ya abiria kwenye daladala!! Dito alikosea sana, ndiyo maana baada lile tukio na mbwembwe zote za Ditopile zikaishaa, mwisho wa siku watu wanakuja sikia Jamaa kafia Nyumba ya wageni huko kwao Tabora!!
Si ndiyo hapo, angetumia nguvu, nafasi yake kumshikisha adabu huyo dereva wa daladala.

Ova
 
Sasa mtu akitukanwa tu anatumia silaha
Akichukuliwa dem,mke anatumia silaha [emoji1]

Ova
Hao ndiyo wale utawasikia huko kitaa na kwenye mabar wanajisifia,"Mimi siku nikipata silahaa hakuna Demu atakae ni kataa,hata Kama ni Demu wa Mtu" kisa bastola yake!![emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna watu humu enzi za hii kesi......ndio walikuwa wanazaliwa!, na JF INAZALIWA.....

2006 nikiwa na mwaka wa 3 kazini toka PW mining Co. To Placerdome Inc. nikajaaliwa kupata mtoto wangu wa kiume wa kwanza.

Leo hii mwanangu ni member humu Jf....Jf imekuuza!
 
Ile kesi ilikuwa na mafunzo mengi sana kwa viongozi wa Serikali. Kwamba cheo ni dhamana. Kiburi si Uungwana. Pamoja na madaraka yote uliyonayo, hauna haki ya kutoa uhai wa mtu, kwa sababu tu gari yako imegongwa, na gari yenyewe imenunuliwa kwa pesa za walipa kodi.

Halafu gari yenyewe Ina insurance fully covered. Asubuhi yake angepewa gari nyingine. Lakini kwa kulewa madaraka akajisahau. Ubongo wa yule dogo ukamwagwa.

Raisi mstahafu, pamoja na shutuma nyingi anazopewa, hapa ndipo alipoonyesha ukomavu wa akili; kwamba umeua mtu asiye na hatia, basi tuache sheria ichukue mkondo wake. Ushkaji tuweke pembeni.

Ile ilikuwa bab kubwa. Na jela akaenda kumtembelea. Kwamba, yeye Rais Kikwete na mtuhumiwa wametoka mbali sana (damudamu) lakini suala la kumua yule kijana litaamuluwa na mahakama. That was really cool [emoji41].
Dogo angekuwa na miaka 50 sasa kama angekuwa hai
 
Katika suala lililoitikisa fani ya sheria na utoaji haki ni tukio la miaka 17 iliyopita kutokana na mlolongo wa matukio yaliyojiri baada ya kufunguliwa mashitaka ya mauaji kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora wa wakati huo, Ukiwaona Ditople Mzuzuri baada kumpiga risasi dereva wa daladala, Hassan Mbonde (33) mwaka 2006.

Pia, soma=> Mkuu wa Mkoa wa Tabora Ditopile Mzuzuri akamatwa kwa mauaji ya Dereva wa Daladala

Kesi ya mshitakiwa huyo ilisababisha mahabusu katika magereza ya Dar es Salaam na kwingineko, kugoma kuingia kwenye magari kwenda mahakamani kwa ajili ya kusikilizwa kesi zao. Mgomo huo wa siku tano haukuwahi kutokea nchini.

Upelelezi wa kesi dhidi ya Ditopile ulichukua miezi minne tu hadi mashitaka kubadilishwa kutoka mauaji ya kukusudia na kuwa mauaji ya kutokusudia, na hivyo kupewa dhamana.

Hilo liliwakasirisha sana mahabusu wengine waliokuwa wakingojea kesi zao (pamoja na zile kesi za mauaji), ambazo baadhi yao walikuwa mahabusu kwa miaka kadha. Walitaka nao wafanyiwe uharaka wa namna hiyo katika kuchunguza kesi zao, la sivyo dhamana ya Ditopile ifutwe.

View attachment 2685405
Askari kanzu wakimpeleka Athumani Ukiwaona Ditopile Mzuzuri lupango mara baada ya kusomewa shtaka la mauaji mbele ya hakimu mkazi, Michael Lugulu mahakama ya Kisutu November 06, 2006.​


Kesi ya Ditopile ili-trend kwa matukio mengi ikiwemo ndugu wa Ditopile kuwarushia maneno na kuwafanyia vurugu ikiwemo kuwamwagia maji waandishi wa habari waliokuwa wanafatilia kesi hiyo kwa madai ya 'kuishikia bango'. Baada ya tukio hilo kesi ya Ditopile ilitawala 'Front Page' zote za magazeti makubwa na prime ya TV stations 'waandishi wakilipa kisasi'

Pia kapteni Ditopile akiwa mahabusu, alipata bahati ya kutembelewa na Rais aliye madarakani wakati huo, Jakaya Kikwete akisema ni rafiki yake wa siku nyingi.

Ndani ya miezi minne uchunguzi ulikamilika na kesi yake ikabadilishwa kutoka mauaji ya kukusudia kwenda mauaji bila kukusudia.

Baada ya kesi kubadilishwa, Ditopile alitoka nje kwa dhamana.

View attachment 2685448
Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakimfariji mjane wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Marehemu Ukiwaona Ditopile Mzuzuri huko nyumbani kwake Upanga. Kulia ni Mariam Ditopile mtoto wa marehemu na nyuma ya Rais ni mtoto wa Rais, Rashid Chodo Kikwete.(April 21, 2008)

Hata hivyo, mwaka 2008 ikiwa bado kesi yake haijapata hukumu, kapteni Ditopile aliaga dunia katika hoteli ya Hilux mkoani Morogoro akiwa na mke Mdogo. Sababu ilitajwa kuwa mshtuko wa moyo.

Pia, Soma=> Ukiwaona Ditopile afariki dunia

🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Hivi yule mbunge wa vita maalumu anahusiano naye?
 
Katika suala lililoitikisa fani ya sheria na utoaji haki ni tukio la miaka 17 iliyopita kutokana na mlolongo wa matukio yaliyojiri baada ya kufunguliwa mashitaka ya mauaji kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora wa wakati huo, Ukiwaona Ditople Mzuzuri baada kumpiga risasi dereva wa daladala, Hassan Mbonde (33) mwaka 2006.

Pia, soma=> Mkuu wa Mkoa wa Tabora Ditopile Mzuzuri akamatwa kwa mauaji ya Dereva wa Daladala

Kesi ya mshitakiwa huyo ilisababisha mahabusu katika magereza ya Dar es Salaam na kwingineko, kugoma kuingia kwenye magari kwenda mahakamani kwa ajili ya kusikilizwa kesi zao. Mgomo huo wa siku tano haukuwahi kutokea nchini.

Upelelezi wa kesi dhidi ya Ditopile ulichukua miezi minne tu hadi mashitaka kubadilishwa kutoka mauaji ya kukusudia na kuwa mauaji ya kutokusudia, na hivyo kupewa dhamana.

Hilo liliwakasirisha sana mahabusu wengine waliokuwa wakingojea kesi zao (pamoja na zile kesi za mauaji), ambazo baadhi yao walikuwa mahabusu kwa miaka kadha. Walitaka nao wafanyiwe uharaka wa namna hiyo katika kuchunguza kesi zao, la sivyo dhamana ya Ditopile ifutwe.

View attachment 2685405
Askari kanzu wakimpeleka Athumani Ukiwaona Ditopile Mzuzuri lupango mara baada ya kusomewa shtaka la mauaji mbele ya hakimu mkazi, Michael Lugulu mahakama ya Kisutu November 06, 2006.​


Kesi ya Ditopile ili-trend kwa matukio mengi ikiwemo ndugu wa Ditopile kuwarushia maneno na kuwafanyia vurugu ikiwemo kuwamwagia maji waandishi wa habari waliokuwa wanafatilia kesi hiyo kwa madai ya 'kuishikia bango'. Baada ya tukio hilo kesi ya Ditopile ilitawala 'Front Page' zote za magazeti makubwa na prime ya TV stations 'waandishi wakilipa kisasi'

Pia kapteni Ditopile akiwa mahabusu, alipata bahati ya kutembelewa na Rais aliye madarakani wakati huo, Jakaya Kikwete akisema ni rafiki yake wa siku nyingi.

Ndani ya miezi minne uchunguzi ulikamilika na kesi yake ikabadilishwa kutoka mauaji ya kukusudia kwenda mauaji bila kukusudia.

Baada ya kesi kubadilishwa, Ditopile alitoka nje kwa dhamana.

View attachment 2685448
Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakimfariji mjane wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Marehemu Ukiwaona Ditopile Mzuzuri huko nyumbani kwake Upanga. Kulia ni Mariam Ditopile mtoto wa marehemu na nyuma ya Rais ni mtoto wa Rais, Rashid Chodo Kikwete.(April 21, 2008)

Hata hivyo, mwaka 2008 ikiwa bado kesi yake haijapata hukumu, kapteni Ditopile aliaga dunia katika hoteli ya Hilux mkoani Morogoro akiwa na mke Mdogo. Sababu ilitajwa kuwa mshtuko wa moyo.

Pia, Soma=> Ukiwaona Ditopile afariki dunia
Duhh.. kumbe ishapita miaka 17!!
 
Ile kesi ilikuwa na mafunzo mengi sana kwa viongozi wa Serikali. Kwamba cheo ni dhamana. Kiburi si Uungwana. Pamoja na madaraka yote uliyonayo, hauna haki ya kutoa uhai wa mtu, kwa sababu tu gari yako imegongwa, na gari yenyewe imenunuliwa kwa pesa za walipa kodi.

Halafu gari yenyewe Ina insurance fully covered. Asubuhi yake angepewa gari nyingine. Lakini kwa kulewa madaraka akajisahau. Ubongo wa yule dogo ukamwagwa.

Raisi mstahafu, pamoja na shutuma nyingi anazopewa, hapa ndipo alipoonyesha ukomavu wa akili; kwamba umeua mtu asiye na hatia, basi tuache sheria ichukue mkondo wake. Ushkaji tuweke pembeni.

Ile ilikuwa bab kubwa. Na jela akaenda kumtembelea. Kwamba, yeye Rais Kikwete na mtuhumiwa wametoka mbali sana (damudamu) lakini suala la kumua yule kijana litaamuluwa na mahakama. That was really cool [emoji41].
Mbaya zaidi walivyosafirisha maiti wanakuja kugundua ni mwanafamilia na mke
 
Alafu alipogongewa na alikoenda kumwaga ubongo Kuna mwendo kitambo Fulani. Haikuwa papo Kwa papo.
Ni kweli kabisa. Yule bwana aliua kwa kukusudia kabisa. (Mtuhumiwa, marehemu Ditopile) alimwambia swahiba yangu, ambae pia alikuwa mtu wake wa karibu kwamba anauhakika nguvu za giza zilitumika kumfanya amuue yule kijana. Kwamba, ni kama vile akili zilimruka. Hakutambua alilokuwa anafanya.
 
Ile kesi ilikuwa na mafunzo mengi sana kwa viongozi wa Serikali. Kwamba cheo ni dhamana. Kiburi si Uungwana. Pamoja na madaraka yote uliyonayo, hauna haki ya kutoa uhai wa mtu, kwa sababu tu gari yako imegongwa, na gari yenyewe imenunuliwa kwa pesa za walipa kodi.

Halafu gari yenyewe Ina insurance fully covered. Asubuhi yake angepewa gari nyingine. Lakini kwa kulewa madaraka akajisahau. Ubongo wa yule dogo ukamwagwa.

Raisi mstahafu, pamoja na shutuma nyingi anazopewa, hapa ndipo alipoonyesha ukomavu wa akili; kwamba umeua mtu asiye na hatia, basi tuache sheria ichukue mkondo wake. Ushkaji tuweke pembeni.

Ile ilikuwa bab kubwa. Na jela akaenda kumtembelea. Kwamba, yeye Rais Kikwete na mtuhumiwa wametoka mbali sana (damudamu) lakini suala la kumua yule kijana litaamuluwa na mahakama. That was really cool [emoji41].
Kesi ilipindishwa
 
Back
Top Bottom