Leo nimekumbuka kesi ya Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, ilipelekea mahabusu kugoma kwenda mahakamani siku tano Dar wakidai dhamana yake ifutwe

Sasa hivi ni fundi pia wa kukoboa. Anahonga Sana, akimkamata demu wako au mkeo basi jua imekula kwako
 
Alifia Moro mkuu kama sikosei.
 

Mhhh....Mzee wa Saigon nani alimroga?
 
Familia ya Marehemu ikanunuliwa makochi mapya na msiba ukageuka kuwa wa Serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…