Ukumsaidia mwanamke kutoboa akipanda level ataanza kujiuliza why yupo na mtu kama wewe na sio mtu wa level ya juu yake. Hypergamy hiyo.
Nilikuwa na demu kwenye baby walker barabara kubwa, kwenye foleni ikaja Land cruiser Prado, demu kaitazama bila aibu akanambia ile ndio gari na anatamani kumiliki kama ile one day.
Nikamtazama nikimtathimini. Sasa nikawaza, yeye wazazi wake wapo mkoani ni wa kulima wa kilimo cha kujitosheleza na wafugaji wa ng'ombe na mbuzi chache kwa matumizi ya nyumbani, hawana hata pikipiki. Leo uongee maneno ya namna hiyo kwangu kijana nimejitafuta ya afadhali nina baby walker nimepiga hatua.
Nimekupa heshima ya kuwa ubavu wangu tufurahie maisha na haka ka'baby walker wakati tukijipanga kupata gari nzuri zaidi kwa macho na akili ya tamaa unapoint gari milioni 100 na ushee, matako yako unaweza hata mudu kununua bajaji takataka kabisa.
Nilijisikia fedheha sana siku ile na nikaona watoto wa kike wa siku hizi wanalelewa maisha ya kuamini wanaweza kupata chochote wanachotaka bila kujali kwa namna gani ila somehow watakipata sababu wana miili yao na itawapa access ya kukipata. Nikamdharau na tokea siku ile nikawa nimemgeuza side chick bila kujua na sikuwa nimemuweka kichwani tena nilimuweka kwenye pumbu, nikiwa na hamu ya kungonoka namuwaza yeye sana nikiwa sina hamu nasahau kama yupo.
Vijinga sana hivi vibinti vya siku hizi. Tamaa mbele mauti ya kiroho na kimwili yafuata.