Colecole
Senior Member
- Oct 1, 2021
- 144
- 190
Kha!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]tuchukue tahadhari wakati wewe ume enjoy
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kha!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]tuchukue tahadhari wakati wewe ume enjoy
Jamaa anajidai hakufurahi😁
Ni kweli upo ndio maana umetutokea, Ila umekhailika Sana, anyway na wewe siku mojamoja uwe unapanda daladala uinjoy, huenda mchezo ukaupenda!Ooh! Mie nipo.
Na wewe upandage Daladala sasa ili ulete vibwanga vya huko. Sie wengine tunachapa lapa tu mpaka job. 😂😂😂
Mkuu michezo ya hovyo hovyo namna hiyo mi naeza jikuta namtwanga mtu ngumi eti.Ni kweli upo ndio maana umetutokea, Ila umekhailika Sana, anyway na wewe siku mojamoja uwe unapanda daladala uinjoy, huenda mchezo ukaupenda!
Hii nlikutana nayo wakati fulani daladala za makumbusho - segerea, asee yule bibiye alikuwa kavaa sijui ndio kijora au dera, na ndani sijui kama alivaa kitu, daaah sijawahi guswa tackle laini kama lile. Ilikwa kisanga na nusu nikisogea ananiegemea kabisa, niliteseka mwanawane asisimame. Nikaingia hadi kwenye maombi kimoyomoyo kukemea pepo mbaya, lakini wapi unaona kabisa kichwa kidogo kinaanza kushtuka, asee hii situation inakuwaga ngumu sana kucontrol kwa mwanaume rijali!
Inabidi uanze kupotezea kwa kuanza kukumbuka stress za kazini na kodi ya nyumba nimepitisha mwezi sijalipa, hapa angalau nikapata afadhali..
Ni mchezo tu sawa na michezo mingine hauhitaji hasira!Mkuu michezo ya hovyo hovyo namna hiyo mi naeza jikuta namtwanga mtu ngumi eti.
Sababu ukisoma au kusikia kwa watu ile wanayofanyaga wanaume huwa naiona haina maana kumchekea anayefanya vile.
HahahahahahaaaaaBila shaka Chuchu zilikuwa saa sita kamili, kweli wanaume tuwe makini... Hii 23% wanaivizia kwa kila namna
Mkuu mademu wa Dar kuwajua tu juu juu si rahisi haswa hawa mchicha mwibakwa hiyo mimi kipofu sioni kama huyu ni demu
Asubuhi ya leo nimepanda daladala ya kusimama. Nikafuatana na dada mmoja amejazia akakipenyeza na kujibanza nyuma yangu. Akawa kasogea karibu sana mpaka mapigo ya moyo wake nikawa nayahisi mgongoni. Nikawa namsikia na pumzi zake. Nikaanza kupandwa na hisia za kimapenzi.
Safari ilivyosogea kidogo mgongo wangu ukaanza kusiginwa na maziwa kila gari inapoyumba (Picha sina). Imagine maziwa ya mwanamke yanakusigina. Nikawa nimekaribia kushuka lakini hisia za kimapenzi zikagoma kushuka. Kushuka nikashindwa maana naweza kuonekana mimi ndio nilikuwa nadunga, wakati nilikuwa nadungwa. Ikabidi nitulie tu bila kuchukua hatua yoyote.
Dungadunga wa kike wapo, wanaume tuchukue tahadhari.
Wanaume wa Dar😂Asubuhi ya leo nimepanda daladala ya kusimama. Nikafuatana na dada mmoja amejazia akakipenyeza na kujibanza nyuma yangu. Akawa kasogea karibu sana mpaka mapigo ya moyo wake nikawa nayahisi mgongoni. Nikawa namsikia na pumzi zake. Nikaanza kupandwa na hisia za kimapenzi.
Safari ilivyosogea kidogo mgongo wangu ukaanza kusiginwa na maziwa kila gari inapoyumba (Picha sina). Imagine maziwa ya mwanamke yanakusigina. Nikawa nimekaribia kushuka lakini hisia za kimapenzi zikagoma kushuka. Kushuka nikashindwa maana naweza kuonekana mimi ndio nilikuwa nadunga, wakati nilikuwa nadungwa. Ikabidi nitulie tu bila kuchukua hatua yoyote.
Dungadunga wa kike wapo, wanaume tuchukue tahadhari.
HahahaKweli upele humpata mwenye hana kucha...😜
Alafu huo mkoa wanaume mnafeli sana....🤣