Leo nimekutana tena na classmate na jirani yetu nyumbani nilikozaliwa, ni muuza mgahawa Dar!

Yaani mastori mengine bana... huwaga ya kisenge humu JF!
 
Omba Mungu asipite hapa maana akipita tu atajua kuwa umegundua anafanya kazi gani na atakushughulikia.
 
hacha ushamba hapa ongo hatufatiliani uandhani mbokomu hapa, jiangalie wewe mwishowe mjini watu wnakula jicho ukiitabaki jicho huna na pesa umeisha piga jichunge hacha kufatilia life za watu Mangi
 
Hivi mleta mada ulishindwa kujiongeza kweli?Huyo nimojawapo wa wanaopelekea hii nchi iende.Ova
 
hacha ushamba hapa ongo hatufatiliani uandhani mbokomu hapa, jiangalie wewe mwishowe mjini watu wnakula jicho ukiitabaki jicho huna na pesa umeisha piga jichunge hacha kufatilia life za watu Mangi
Aiseee
 
Hivi mleta mada ulishindwa kujiongeza kweli?Huyo nimojawapo wa wanaopelekea hii nchi iende.Ova
 
Hivi mleta mada ulishindwa kujiongeza kweli?Huyo nimojawapo wa wanaopelekea hii nchi iende.Ova
 
Lengo la uzi wako ni kwamba umefurahi au umehuzunika kumkuta katika hali hiyo?
 
Duuh! Ili mtu kuelewa mada yako anabidi awe kichwa kuliko hata Einstein... Na kwa Iq za wabongo wengi zilivyo, mmh sijui nani atakuwa kakuelewa hapo....
 
Ushangai simu hana, wakati mchina yupo mpaka wa pauni kitaa! Watu wako kazini zaidi ya mgahawa, classmate wako yupo kitengo, ndiyo maana kashindwa kukupa namba za simu.
 
Mhh
 
Hivi unaongea nn[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kajifunze kwanza kuandika vizuri
 
Lengo la uzi wako ni kwamba umefurahi au umehuzunika kumkuta katika hali hiyo?
Nada imekaa kigreat thinkers Zaidi ni ngumu wewe kuelewa
 
Mbaya zaidi unayemsema yupo humu humu amekuona mjinga sana kuchunguza life za watu mm ndo maana kuna baadhi ya classmate wangu nakwepa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…