Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nimeandika kilichopo moyoni , nilichokigundua
Hakika huyu dada ni usalama tena tangu sekondari
Yaani mastori mengine bana... huwaga ya kisenge humu JF!
Dah! Kuna dada ni jirani yetu home nilikozaliwa
Wazazi wake walifariki
So alilelewa na bibi
Huyu dada Nilisoma naye O level
Alikuwaga wa kwanza class siku zote
Baadaye ikawa ikitokea mkakutana na huyu dada Akakupa no yake ya simu itapatikana siku hiyo tuu
Alikuwa na tabia ya kutoroka sana shule
Akapewa adhabu ya kukaa nyumbani mwezi
Ghafla yupo kibosho Girls
Na bibi hakuwa na uwezo alikuwa anatwambiaga alipataga wafadhili wa kumsomesha
Ok akasoma UDSM
Akaenda nje sijui kusoma nini!
Eti namkuta anauza mgahawa manzese Dar es salaam tena kaajiriwa mshahara waweza usizidi laki
Haonyeshe kuchoka
Eti Hana simu
Hapendi nijue anakoishi wala hataki mazoea
Home kwa bibi pale pamejegwa kigorofa, pickup ya majani, wafanya kazi kibao na dereva juu,
Bibi alikuwa na watoto 3 mmoja alikufa , 2 ni walimu MOSHI uko uko , na nawajua na najua maisha yao tuu
Bibi ni Mzee sana kwa sasa na haoni ata
Dah! classmate muuza mgahawa kanifuraisha leo
imekaa kiumbeaNada imekaa kigreat thinkers Zaidi ni ngumu wewe kuelewa
Uwe unajiongeza na wewe bwana, ni mtu wa mfumo na hapo yupo kazini, na akishajua unamfatilia sana atapotea hapo