Leo nimekutana tena na classmate na jirani yetu nyumbani nilikozaliwa, ni muuza mgahawa Dar!

Leo nimekutana tena na classmate na jirani yetu nyumbani nilikozaliwa, ni muuza mgahawa Dar!

Au ndio yule anaeongozana na JPM akiwa kasuka twende kilioni huku kavaa vaa visivyoeleweka???

Ila nimempenda ana akili maana kagorofa kamoja kijijini kajitahd sana.
Mkuu nimeandika kilichopo moyoni , nilichokigundua
Hakika huyu dada ni usalama tena tangu sekondari
 
Hivi unajisikiaje ukitukana sehemu kama hii yenye babazako, mamazako na wakubwa na hata wadogo zako mkuu? Hayo matusi ya billicanas Kijiwe cha matapeli kwanini usiyaachie huko huko? Stop this bhana.
Yaani mastori mengine bana... huwaga ya kisenge humu JF!
 
Lengo la stori hii
Dah! Kuna dada ni jirani yetu home nilikozaliwa
Wazazi wake walifariki
So alilelewa na bibi
Huyu dada Nilisoma naye O level
Alikuwaga wa kwanza class siku zote
Baadaye ikawa ikitokea mkakutana na huyu dada Akakupa no yake ya simu itapatikana siku hiyo tuu
Alikuwa na tabia ya kutoroka sana shule
Akapewa adhabu ya kukaa nyumbani mwezi
Ghafla yupo kibosho Girls
Na bibi hakuwa na uwezo alikuwa anatwambiaga alipataga wafadhili wa kumsomesha
Ok akasoma UDSM
Akaenda nje sijui kusoma nini!
Eti namkuta anauza mgahawa manzese Dar es salaam tena kaajiriwa mshahara waweza usizidi laki
Haonyeshe kuchoka
Eti Hana simu
Hapendi nijue anakoishi wala hataki mazoea
Home kwa bibi pale pamejegwa kigorofa, pickup ya majani, wafanya kazi kibao na dereva juu,
Bibi alikuwa na watoto 3 mmoja alikufa , 2 ni walimu MOSHI uko uko , na nawajua na najua maisha yao tuu
Bibi ni Mzee sana kwa sasa na haoni ata
Dah! classmate muuza mgahawa kanifuraisha leo

lengo la stori yako hii ni nini?
 
Kuna wengi watanyang'anywa vyeti humu maana ata imla hawakupitia
Walifauluje! Ndalichako mama humu wapo
 
Uwe unajiongeza na wewe bwana, ni mtu wa mfumo na hapo yupo kazini, na akishajua unamfatilia sana atapotea hapo

kujiongeza!!hahahahaaaaa.... yan jamaa anafuatilia mpk jamiiforum!
 
Back
Top Bottom