Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Don't force eyes to interpret mkuu, ni ubongo to ndo unaotafsirigi mambo!!!!cjaelewa vzr andiko lako,hlf ulivo malizia ndo umenichanganya,yan classmate amekufurahisha kuwa mhudumu wa hotel/ mgahawa?. ulitaka tujifunze nn Khs hili andiko?
Mkuu nimeandika kilichopo moyoni , nilichokigunduajinsi ulivosimulia ni hakika huyo ni kutoka kitengo,ana kazi maalum hapo,rudi tena naamini hutamkuta.ukiona hivo jua ni wale ndg zetu.
Dah! Kuna dada ni jirani yetu home nilikozaliwa
Wazazi wake walifariki
So alilelewa na bibi
Huyu dada Nilisoma naye O level
Alikuwaga wa kwanza class siku zote
Baadaye ikawa ikitokea mkakutana na huyu dada Akakupa no yake ya simu itapatikana siku hiyo tuu
Alikuwa na tabia ya kutoroka sana shule
Akapewa adhabu ya kukaa nyumbani mwezi
Ghafla yupo kibosho Girls
Na bibi hakuwa na uwezo alikuwa anatwambiaga alipataga wafadhili wa kumsomesha
Ok akasoma UDSM
Akaenda nje sijui kusoma nini!
Eti namkuta anauza mgahawa manzese Dar es salaam tena kaajiriwa mshahara waweza usizidi laki
Haonyeshe kuchoka
Eti Hana simu
Hapendi nijue anakoishi wala hataki mazoea
Home kwa bibi pale pamejegwa kigorofa, pickup ya majani, wafanya kazi kibao na dereva juu,
Bibi alikuwa na watoto 3 mmoja alikufa , 2 ni walimu MOSHI uko uko , na nawajua na najua maisha yao tuu
Bibi ni Mzee sana kwa sasa na haoni ata
Dah! classmate muuza mgahawa kanifuraisha leo
Umeambiwa hana simu.Anafaa kwa matumizi ya kawaida ya binadamu unipe number zake for more info?!
Soma vuzuri mi namona ni level nyingine na Mali za home ni zakeSeriously....Inaonekana umefurahia Hali ya huyo Dada kwa kiwango cha juu sana... Sijui ni kwa nini Baadhi ya binadamu hufurahia majanga wa binadamu wengine...So pathetic...
Mkuu between the line inaonyesha una dharau sana.Huyu Jamaa anaishi Dar.
Na ndio walee wenye kulewa muda wa Kazi.
Hongera kwa kuitendea haki Weekend yako,haya ndio matokeo ya bia za pesa ya mshahara.
Ili mtu akuelewe lazima awe mlevi tena wa roba